mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hapana mkuu,hua siwapendi tu kwa kujifanya Wana akili kuliko wengine.Pole sana mkuu utakuwa umeingizwa cha kike na hao watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu,hua siwapendi tu kwa kujifanya Wana akili kuliko wengine.Pole sana mkuu utakuwa umeingizwa cha kike na hao watu
😄😄😄😄 Wanachelewashaga Sana mambo hao jamaa.Umemaindi kichizi kummmk
Chukua hii brevis kwa 7mil.Unajua moja ya mambo yananikera kwa muda mtefu ni tabia za MADALALI sio kuuza vitu bei juu hapana nikuchelewesha BIASHARA kwasasa mimi natafuta gari IST au Vitz bajeti 6mil. Lakini nakutana na gari Haina ubora Bei ipo juu najiuliza hivi kweli muuzaji yaani mwenye gair ndio anauza bei hiyo?
Nimegundua madalali wanamambo ya kijinga sana hawajui nini maana ya kamishen N.K yaani anataka kuuza juu na kamishen kote kwamuuzaji na mnunuz anataka..
Huu ni upuuzi wa mwendokasi nyinyi wauzaji anzeni kuchangamka kutumia mitandao wenyewe mkutane na mnunuzi mojakwamoja...
NATAFUTA GAR...VITS,/IST 6 MIL
0714045080
weee mbona tunawasaidia mnapata watejaMadalali kwa jumla wanakwamisha sana biashara.
mkuu mbona kama na wewe unachelewesha biasharaChukua hii brevis kwa 7mil.
Chombo iko poa
Call 0683011003
View attachment 1808855View attachment 1808856View attachment 1808857View attachment 1808858View attachment 1808859
hataki madalali mkuu
yaah 7m anapata passo mpyaaOngeza milion chukua passo mpya dukani
😅😅😅mkuu mbona kama na wewe unachelewesha biashara
Mnazingua sanaweee mbona tunawasaidia mnapata wateja
Mpya aka used JP.yaah 7m anapata passo mpyaa
jamani poleni sanaMnazingua sana
yaah si ndo mpya hiyo😀Mpya aka used JP.
poleni sana😅😅😅
Dadaangu biashara isiyo na changamoto haipo
Last week nilikuwa bugando tulicheleweshewa jeneza aisee ilitupa shida sana.
Kwa hio dalali kulalamikiwa ni kawaida tu
Huwa nawapatia. Nikitaka gari namwambia nauza gari anipe bei. Mfano nauza Crown utanitafutia mteja kwa bei gani? Atalalia braza hio siku hizi 7 basi nambadilishia kibao niletee Crown kuna 7.3 hapa uone atakavyobadilika!jamani poleni sana
hahaahaa nadhani kila mtu ana utaratibu wake wa kufanya biasharaHuwa nawapatia. Nikitaka gari namwambia nauza gari anipe bei. Mfano nauza Crown utanitafutia mteja kwa bei gani? Atalalia braza hio siku hizi 7 basi nambadilishia kibao niletee Crown kuna 7.3 hapa uone atakavyobadilika!
Sasa utafanyaje kupataa muhusikaaa
Sure mkuu aongeze maujanja Asizubae sana ..coz hapa mjini Kila mtu anaitaka pesa... Sehemu yeyote ukienda kiboya boya unapigwaKuwa mtoto wa mjini anko...kama kweli unataka gari tafuta kijana anae shinda pale offer kumpa hata buku 50 akuonyeshe mmiliki ikiwezekana upate namba zake then una malizana nae kando una wa bypass mamburululaz wote pale
Hahahaha Le Akili Kubwaz U Know [emoji16][emoji38][emoji1787]
Madalali siku zote unawapelekea hata mteja feki / au kijana kuchunguza issue flani anarudi na info. Unamlipa
Sio dhambi cz umemlipa mtu kukutaftia information.