Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

Na bado hatambui kosa lake sasa mtu wa namna hii akija na Dv 5 zake kuomba kazi ofisini unamwambia kuwa gate man mana hata ufagizi ndani ya ofisi utakuta kachoma nyaraka muimu.
hili swali lako na mada iliyopo mmmh!kweli tz kazi tunayo
 

Yaan binamu unaniuaa mbavu hiv ban yako inaisha liniii ,binamu hiv huko unaishi mtaa ganii wewee
 
Yaan binamu unaniuaa mbavu hiv ban yako inaisha liniii ,binamu hiv huko unaishi mtaa ganii wewee

Eeh ndo unanikumbusha binamu, nshaisahau account ya warumi yani mi nawaza umbea tu apa , mambo ya BAN ata sijui wanafungua lini account yangu, mi cha muhimu umbea napiga kama kawa, wafunge miez mwaka watajijua wenyewe uko na mabalaa yao.

Mmh na wewe mbea kiama mpaka mtaa unatak ujue?? Kwa kuwa mbea mwenzangu ntakutajia kwa Pm jembe langu usihofu
 
Last edited by a moderator:
Madaktari na walimu wakianzisha mgomo wa nyongeza ya mshahara mnakuja hapa kuwatetea lakini hawa watu hakuna kazi yoyote ya maana wanayoifanya..., wanakula pesa za bure na utendaji zero.
 

hahahaaaaa......!team uswahilini usitupimie kitu cha kwa mfuga mbwa tena....!
 
Hawakufanya x-Ray?! Hawa sue Muhimbili.
 

Hahhhhhhhaaa binamu siku ukihama jamii nami nahamAA unaniuaa mbavuuu haki ya mamaa
 
Last edited by a moderator:

hahahaaa.....!yani mnanipa raha!
 
Last edited by a moderator:

You Made My Day Cuzoo....HeeeeeHeeeeeeee
 
Hahhhhhhhaaa binamu siku ukihama jamii nami nahamAA unaniuaa mbavuuu haki ya mamaa

Watuache binamu , mimi na wewe tumetoka mbali maana kuna kipindi tulikuwa tunachambwa humu eeh mpaka mwenzio nikawa nasikia kizungu zungu,hadi kuna kipindi nikaw najisemea mimi na JF basi maana vichambo vilizidi.

Yani kuna watu wanachamba umu sijui siku izi wako wapi, ila tulivyokuwa na mahaba na umbea tulivumilia yote mpaka sasa ivi tupo wote tunalisongesha, maana wamechamba wakaona apa kazi bure wakaamua kutuacha.
 

Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa
 
Kwani viongozi wanapoenda kutibiwa nje unadhani hawalijui hili....Sisi hatuna thamani...hatuna thamani na sio kwamma madaktari hawana uwezo wanauwezo bali wengi wao hawana wito ndio maaana wanatoa majibu rahisi
 
Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa

Mmh mwenzio kuna kipindi nilikuwa nachambwa mmh had naipata fresh, nilikuwa sijawazoea watu wa humu vizur, sasa ivi we hii namba nyingine ukilianzisha utajuta kujifahamu na kiduku juu
 
Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa

Mmh mwenzio kuna kipindi nilikuwa nachambwa mmh had naipata fresh, nilikuwa sijawazoea watu wa humu vizur, sasa ivi we hii namba nyingine ukilianzisha utajuta kunifahamu timbwil lake
 

Binamu nahisi jf huku hamna mtu mmbea aliyetukuka kama wewe.Binamu hata siku moja moja ingia hata jukwaa la siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…