Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

Na bado hatambui kosa lake sasa mtu wa namna hii akija na Dv 5 zake kuomba kazi ofisini unamwambia kuwa gate man mana hata ufagizi ndani ya ofisi utakuta kachoma nyaraka muimu.
hili swali lako na mada iliyopo mmmh!kweli tz kazi tunayo
 
Si unajua ward za akina kabwela sewahaji na mwaisela yani wagonjwa wa kule wengi ni waswazi wa menzese,tandika na sehemu kama hizo, nadhan unajua waswazi walivyobarikiwa midomo. Yaan kuna wagonjwa hawalali , yan wao masaa 24 umbea tu na mastor had nikatamani ningelazwa aiseeh maana wangeni discharge kabla ya wakat kwa umbea maana ivi tu siumwi hatar ,maana ukiumwa akil kidog zinafyatuka yan ingekuwa balaa

Yaan binamu unaniuaa mbavu hiv ban yako inaisha liniii ,binamu hiv huko unaishi mtaa ganii wewee
 
Yaan binamu unaniuaa mbavu hiv ban yako inaisha liniii ,binamu hiv huko unaishi mtaa ganii wewee

Eeh ndo unanikumbusha binamu, nshaisahau account ya warumi yani mi nawaza umbea tu apa , mambo ya BAN ata sijui wanafungua lini account yangu, mi cha muhimu umbea napiga kama kawa, wafunge miez mwaka watajijua wenyewe uko na mabalaa yao.

Mmh na wewe mbea kiama mpaka mtaa unatak ujue?? Kwa kuwa mbea mwenzangu ntakutajia kwa Pm jembe langu usihofu
 
Last edited by a moderator:
Madaktari na walimu wakianzisha mgomo wa nyongeza ya mshahara mnakuja hapa kuwatetea lakini hawa watu hakuna kazi yoyote ya maana wanayoifanya..., wanakula pesa za bure na utendaji zero.
 
Si unajua ward za akina kabwela sewahaji na mwaisela yani wagonjwa wa kule wengi ni waswazi wa menzese,tandika na sehemu kama hizo, nadhan unajua waswazi walivyobarikiwa midomo. Yaan kuna wagonjwa hawalali , yan wao masaa 24 umbea tu na mastor had nikatamani ningelazwa aiseeh maana wangeni discharge kabla ya wakat kwa umbea maana ivi tu siumwi hatar ,maana ukiumwa akil kidog zinafyatuka yan ingekuwa balaa

hahahaaaaa......!team uswahilini usitupimie kitu cha kwa mfuga mbwa tena....!
 
Hawakufanya x-Ray?! Hawa sue Muhimbili.
 
Eeh ndo unanikumbusha binamu, nshaisahau account ya warumi yani mi nawaza umbea tu apa , mambo ya BAN ata sijui wanafungua lini account yangu, mi cha muhimu umbea napiga kama kawa, wafunge miez mwaka watajijua wenyewe uko na mabalaa yao.

Mmh na wewe mbea kiama mpaka mtaa unatak ujue?? Kwa kuwa mbea mwenzangu ntakutajia kwa Pm jembe langu usihofu

Hahhhhhhhaaa binamu siku ukihama jamii nami nahamAA unaniuaa mbavuuu haki ya mamaa
 
Last edited by a moderator:
Eeh ndo unanikumbusha binamu, nshaisahau account ya warumi yani mi nawaza umbea tu apa , mambo ya BAN ata sijui wanafungua lini account yangu, mi cha muhimu umbea napiga kama kawa, wafunge miez mwaka watajijua wenyewe uko na mabalaa yao.

Mmh na wewe mbea kiama mpaka mtaa unatak ujue?? Kwa kuwa mbea mwenzangu ntakutajia kwa Pm jembe langu usihofu

hahahaaa.....!yani mnanipa raha!
 
Last edited by a moderator:
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku

You Made My Day Cuzoo....HeeeeeHeeeeeeee
 
Hahhhhhhhaaa binamu siku ukihama jamii nami nahamAA unaniuaa mbavuuu haki ya mamaa

Watuache binamu , mimi na wewe tumetoka mbali maana kuna kipindi tulikuwa tunachambwa humu eeh mpaka mwenzio nikawa nasikia kizungu zungu,hadi kuna kipindi nikaw najisemea mimi na JF basi maana vichambo vilizidi.

Yani kuna watu wanachamba umu sijui siku izi wako wapi, ila tulivyokuwa na mahaba na umbea tulivumilia yote mpaka sasa ivi tupo wote tunalisongesha, maana wamechamba wakaona apa kazi bure wakaamua kutuacha.
 
Watuache binamu , mimi na wewe tumetoka mbali maana kuna kipindi tulikuwa tunachambwa humu eeh mpaka mwenzio nikawa nasikia kizungu zungu,hadi kuna kipindi nikaw najisemea mimi na JF basi maana vichambo vilizidi.

Yani kuna watu wanachamba umu sijui siku izi wako wapi, ila tulivyokuwa na mahaba na umbea tulivumilia yote mpaka sasa ivi tupo wote tunalisongesha, maana wamechamba wakaona apa kazi bure wakaamua kutuacha.

Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa
 
Kwani viongozi wanapoenda kutibiwa nje unadhani hawalijui hili....Sisi hatuna thamani...hatuna thamani na sio kwamma madaktari hawana uwezo wanauwezo bali wengi wao hawana wito ndio maaana wanatoa majibu rahisi
 
Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa

Mmh mwenzio kuna kipindi nilikuwa nachambwa mmh had naipata fresh, nilikuwa sijawazoea watu wa humu vizur, sasa ivi we hii namba nyingine ukilianzisha utajuta kujifahamu na kiduku juu
 
Sasa kizungu cha niniiii mi walaaaaa nilikua nikitoka jamiii siwaziii kabisaaaa hahhhhhhhaaaaaaa

Mmh mwenzio kuna kipindi nilikuwa nachambwa mmh had naipata fresh, nilikuwa sijawazoea watu wa humu vizur, sasa ivi we hii namba nyingine ukilianzisha utajuta kunifahamu timbwil lake
 
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku

Binamu nahisi jf huku hamna mtu mmbea aliyetukuka kama wewe.Binamu hata siku moja moja ingia hata jukwaa la siasa.
 
Back
Top Bottom