Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

madame!!! ulienda kipindi cha mgomo nini?
 
Lazima tujivunie Tanzania yetu licha ya matatizo mengi yanayotusibu, mjenga nchi ni mwananchi.
 
Mmh mwenzio kuna kipindi nilikuwa nachambwa mmh had naipata fresh, nilikuwa sijawazoea watu wa humu vizur, sasa ivi we hii namba nyingine ukilianzisha utajuta kujifahamu na kiduku juu

Binamu uwe unatembelea na majukwaa mengine kama siasani eee sawaa
 
Kuna nn uko, kila mtu ananiambia niende, mi majukwaa mengine sijayazoea kabisa sijui naonaje

Uwe unaenda hata kusoma tu kuna watu wanachambwa hukooo wewee achaa kule ni ccm na chadema bas kuna michambo balaaa
 
Madaktari na walimu wakianzisha mgomo wa nyongeza ya mshahara mnakuja hapa kuwatetea lakini hawa watu hakuna kazi yoyote ya maana wanayoifanya..., wanakula pesa za bure na utendaji zero.

Kama kuna ufuto make sure una delete hii post yako
 
Tatizo ni hela tuu mtu uende kutibiwa Muhimbili kweli? Pale labda huduma ya kwanza...

Au mmesahau mtu alikuwa afanyiwe operation ya Mguu akafanyiwa ya kichwa yule wa kichwa akafanyiwa ya Mguu, matokeo yake mtu anafanyiwa operation mbili. Afu Mganga mkuu anadunda tu ofisini.


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Siaamini hii story kabisa..fracture yoyote ya kwenye mguu hapo MOI hata mwanafunzi wa mwaka wa tano udaktari anaweza kuigundua..hawa global publisher wana tatizo na muhimbili..
 
Sidhani pale moi kabisaa washindwe kuona mfupa uliovunjika??
Kuna kitu na hawa global publisher..watu tunafanya diagnosis hapa jf doctor na watu hatuwaoni ndo iwe machief wa MOI there something fishy..na huyu mama hii mara ka ya tatu hivi anailalamikia MOI
 
Fracture zote za mguu hata md5 anadiagnose alafu anasema MOI waliimisi..huyu anamatatizo...alafu hii swala la kulalamika lalamika nmemsikia tangu mwaka jana..
 

nan anamla huyu madam?

Analiwa na data
 
hiyo picha nyingine ya kimashauzi si ya kiugonjwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…