Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
Sasa tusiojiweza tutakufa na magonjwa yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamla mengi we data
Mengi ashamtema long
Sasa hivi anatoka na nani?
Atakua Ally k kama hajatosaa
Sasa hapo wenzangu na mimi tusio na hela ya kukwea pipa, mbona tungekuja kushtuka mguu ushakuwa na more complications. Sometimes hizi hospitali za serikali zinaweka maisha yetu rehani.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku
nan anamla huyu madam?
Hahaha yani binamu nahisi ukichanjwa sehemu yoyote utatoka umbea na sio damu. Umeshindikana kiama, so hata ukiwa mgonjwa lazima utafute ubuyu khaaaa?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku
Sasa madam hawakukupiga xray,ungelitambua mapema kama umevunjika au laa.Ukivunjika, mfupa unaonekana kwa macho.
watuache na wodi zetu za mwaisela na sewahaji, tushajizoelea wenyewe, ila ukilazwa muhimbili kwenye wards za akina kantupeni kwa kweli huboreki yani kuna wagonjwa wana midomo halafu wambea hatar, unakuta mgonjwa kavunjika mguu wameutundika juu lakin anvyochonga mdomo kama haumwi, yan masaa 24 midomo iko juu kama kasuku
Si unajua ward za akina kabwela sewahaji na mwaisela yani wagonjwa wa kule wengi ni waswazi wa menzese,tandika na sehemu kama hizo, nadhan unajua waswazi walivyobarikiwa midomo. Yaan kuna wagonjwa hawalali , yan wao masaa 24 umbea tu na mastor had nikatamani ningelazwa aiseeh maana wangeni discharge kabla ya wakat kwa umbea maana ivi tu siumwi hatar ,maana ukiumwa akil kidog zinafyatuka yan ingekuwa balaa