Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

Madam Rita ateseka siku 365 Muhimbili

Duh kwa kweli inasikitisha mpaka mtu unaona hakuna haja ya kujivunia Tanzania.

Tanzania ingek ikuwa ni basi ningeshuka na kupanda lingine hii nchi kila kitu ni shida chini ya ccm
 
Fracture zote za mguu hata md5 anadiagnose alafu anasema MOI waliimisi..huyu anamatatizo...alafu hii swala la kulalamika lalamika nmemsikia tangu mwaka jana..

Sasa mnamchukuliaje hatua kama madai yake si ya kweli? Si atakuwa ameidhalilisha hospital kwa tuhuma ambazo si za kweli kama unavyodai?

Rafiki yangu alivunjikaga mkono wakamleta MOI, madaktar waka examine broken bones(X-RAY) ikaonekana hajapata mvunjiko wa kuweza kumfanyia operation, basi wakamuweka Hogo akarud Home, alikaa mwezi na nusu nyumbani mkono hali bado ikawa mbaya, ikabidi arudishwe ten hospital, kumbe mkono ulikuwa umevunjika kabisa na isingewezekana kuungika kwa Ogo, ikabidi afanyiwe operation , bahat nzur it was successful na jamaa yuko poa now. Muhimbili wapo vizuri sana, sema matatizo madogo madogo pia yapo, so they should take it as a challenge.

Pia Madam ritha anaheshimika sana, sidhani kama anaweza kutunga uongo kiasi hiki tena kwenye media, for me its impossible labda kama kuna mengine.
 
Sasa mnamchukuliaje hatua kama madai yake si ya kweli? Si atakuwa ameidhalilisha hospital kwa tuhuma ambazo si za kweli kama unavyodai?

Rafiki yangu alivunjikaga mkono wakamleta MOI, madaktar waka examine broken bones(X-RAY) ikaonekana hajapata mvunjiko wa kuweza kumfanyia operation, basi wakamuweka Hogo akarud Home, alikaa mwezi na nusu nyumbani mkono hali bado ikawa mbaya, ikabidi arudishwe ten hospital, kumbe mkono ulikuwa umevunjika kabisa na isingewezekana kuungika kwa Ogo, ikabidi afanyiwe operation , bahat nzur it was successful na jamaa yuko poa now. Muhimbili wapo vizuri sana, sema matatizo madogo madogo pia yapo, so they should take it as a challenge.

Pia Madam ritha anaheshimika sana, sidhani kama anaweza kutunga uongo kiasi hiki tena kwenye media, for me its impossible labda kama kuna mengine.

Mbona mi simheshimuu,,,,?
 
Fracture zote za mguu hata md5 anadiagnose alafu anasema MOI waliimisi..huyu anamatatizo...alafu hii swala la kulalamika lalamika nmemsikia tangu mwaka jana..

Hili gazeti la udaku colleague, hakuna anayemiss fractured bone on X-ray wanatafuta kick nitoke vipi na story
 
Kuna kitu na hawa global publisher..watu tunafanya diagnosis hapa jf doctor na watu hatuwaoni ndo iwe machief wa MOI there something fishy..na huyu mama hii mara ka ya tatu hivi anailalamikia MOI

Mh hospitali za kibongo majanga wanaweza wakakwambia huna tatizo lakini ni mgonjwa hyo ya madam naweza amini mana hata mi ilitokea
 
Sasa mnamchukuliaje hatua kama madai yake si ya kweli? Si atakuwa ameidhalilisha hospital kwa tuhuma ambazo si za kweli kama unavyodai?

Rafiki yangu alivunjikaga mkono wakamleta MOI, madaktar waka examine broken bones(X-RAY) ikaonekana hajapata mvunjiko wa kuweza kumfanyia operation, basi wakamuweka Hogo akarud Home, alikaa mwezi na nusu nyumbani mkono hali bado ikawa mbaya, ikabidi arudishwe ten hospital, kumbe mkono ulikuwa umevunjika kabisa na isingewezekana kuungika kwa Ogo, ikabidi afanyiwe operation , bahat nzur it was successful na jamaa yuko poa now. Muhimbili wapo vizuri sana, sema matatizo madogo madogo pia yapo, so they should take it as a challenge.

Pia Madam ritha anaheshimika sana, sidhani kama anaweza kutunga uongo kiasi hiki tena kwenye media, for me its impossible labda kama kuna mengine.
Siiamini kabisa kama pale MOI walimiss fracture..simwamini yeye wala siwaamini hao global publisher..
 
Siiamini kabisa kama pale MOI walimiss fracture..simwamini yeye wala siwaamini hao global publisher..

Kwa kile kitendo cha madktari kumfanyia mgonjwa operation ya kichwa badala ya mguu, mimi namwamini madam ritha.
 
Kwa kile kitendo cha madktari kumfanyia mgonjwa operation ya kichwa badala ya mguu, mimi namwamini madam ritha.

Binamu hzi hospitali siziamini mana kuna siku.naumwa nimepma eti siimwi fka home nikazidiwa kwenda nyingne nikakutwa naumwa vbaya hata ya madam Rita naamini itakuwa kweli
 
Kwa kile kitendo cha madktari kumfanyia mgonjwa operation ya kichwa badala ya mguu, mimi namwamini madam ritha.
Hii inatokea once in million cases na ilikuwa ni watu wanataka kuharibiana...lkn si kama huyu anavyoelezea ameenda mara kibao lakini bado wakawa hawaoni fracture si kweli..
 
Mh hospitali za kibongo majanga wanaweza wakakwambia huna tatizo lakini ni mgonjwa hyo ya madam naweza amini mana hata mi ilitokea
Sio pale moi..siamini kama walimiss fracture kwenye mguu..i dont belive that..
 
muhimbili sijakanyagi tena pake ashukuru mungu hawajampasua kichwa.mwezi wa 1 nilienda nikakutana na docta kalewa anataka kunichoma sindano ikabidi niombe kubadilishiwa docta tu akaja kibint kidogo nikaona bora huyo
 
Hili gazeti la udaku colleague, hakuna anayemiss fractured bone on X-ray wanatafuta kick nitoke vipi na story
Haya madai yanashangaza..halafu ni kama miaka miwili imepita analalamikia hili swala..kuna ishu hapo chief
 
Back
Top Bottom