Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,116
- 2,616
Hivi Madam Kiswahili chake ni kipi?Anaonewa watasema hivyo
ID nzuri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Madam Kiswahili chake ni kipi?Anaonewa watasema hivyo
Kama kweli Rita alikuwa anatoa rushwa ili asilipe kodi basi imekula kwake, hii ndo ile wanaiitaga SHORTCUT IS THE LONG CUTSi unajua zama hizo za figisufigisu, ukitoa kitu kidogo faili linasogezwa kushoto halafu mtu "anachekelea" kwamba yeye ni master, huwa halipi kodi kumbe anajitekenya na kucheka mwenyewe, faili liko palepale! Sasa limefufuka, mtu Puresha puuu!
Inategemea na Mwaka walioanza biasharaBillion 7.4 mbona nying sana? Kwa biashara gani anayofanya??
Basi awamu hii lazima na ajiandae kufilisikaAwamu iliopita kulipa kodi ilikua ni option sio lazma teh
Madam Rita alikuwa wapi muda wote huo halipi kodi?Mkuu anza na chanzo cha tatizo.Sasa walikuwa wapi muda wote huo mpaka deni linakuwa kubwa namna hiyo??
Huwa mara nyingine kunakuwaga na makubaliano baina ya maafisa wasio waaminifu na mlipa kodi mahesabu yanafanyiwa mafelmeee, ukija ukaguzi mwingine unakuta kuna deni kubwa kuliko lile ambalo lilifanyiwa assesment na mfanyakazi mpiga dili.Wao walikuwa wapi mpaka deni likawa kubwa ivo. Hao nao washughulikiwe.
Mkuu hapo kwenye ulemavu sijakuelewaNilisikia alikatwa mguu? Sasa mlemavu anadaiwa kodi? Hana msamaha? Au mpaka wahindi na wazungu? Tunammiss Mramba