Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Wana Jamvi wasalaam!
Happy New year 2015.
Allah ni mwema wakati wote!
Wana jamvi bila shaka kila mtu analikumbuka shindano la kusaka vipaji vya waimbaji maarufu kama Bongo Star Search (BSS)! Nilitegemea kuliona hili shindano mwaka uliopita lakini sijaliona na sijui kumetokea nini hadi mwaka 2014 lisiwepo?
Mbali na kuwasaidia vijana kuibua vipaji vyao na kuwa kama daraja lao la mafanikio ya vijana walio shindwa kupata nafasi, lakini limekuwa likitupa burudani watazamaji na mashabiki wa muziki!
Bado najiuliza kumetokea nini shindano hili kukosekana mwaka uliopita? Madam Ritta ameamua kuachana nalo? amekosa wadhamini? ameshindwa kuliendesha tena?
Ningependa kuona shindano hili linarudi maana linawasaidia sana vijana!
Karibuni wana jamvi!
Happy New year 2015.
Allah ni mwema wakati wote!
Wana jamvi bila shaka kila mtu analikumbuka shindano la kusaka vipaji vya waimbaji maarufu kama Bongo Star Search (BSS)! Nilitegemea kuliona hili shindano mwaka uliopita lakini sijaliona na sijui kumetokea nini hadi mwaka 2014 lisiwepo?
Mbali na kuwasaidia vijana kuibua vipaji vyao na kuwa kama daraja lao la mafanikio ya vijana walio shindwa kupata nafasi, lakini limekuwa likitupa burudani watazamaji na mashabiki wa muziki!
Bado najiuliza kumetokea nini shindano hili kukosekana mwaka uliopita? Madam Ritta ameamua kuachana nalo? amekosa wadhamini? ameshindwa kuliendesha tena?
Ningependa kuona shindano hili linarudi maana linawasaidia sana vijana!
Karibuni wana jamvi!