Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
- Thread starter
- #81
Regulations are clear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea sasa hayo mambo matatu yote yapo? 😅Ila ni rahisi kama ukitumia mambo matatu ya secret to happiness.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka utadhan mazuriShilole mwenzie mjanja baada ya kuona uzuri wote kwisha ziwa ndala na hana soko tena akamtafuta jamaa ambaye sio star,hana mihela na anajua ataweza kumkontrol na japokuwa jamaa han hela ila anaweza kumtimizia mahitaji yake ya msingi ,akaolewa sasa hivi wanajipikia tu ubwabwa wao shishi food,
Malls zinalipa Dar tu na zenyewe zinadorora pita Bagamoyo Road one zilivyo nyingi kuanzia Mikocheni hadi Afrikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanahamia digital malls itafika wakati hazitakuwepo.Halafu waziri wa Jiwe anakuja na wazo eti serikali ijenge MALL kila wilaya!!! Huyu Waziri ana akili kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wema huyu huyu aliyejenga Nyumba ya milioni 400 na kununua vitu vya ndani vya milioni 50 kisha akamwita Zamaradi amfanyie Interview? Wema huyu huyu aliyejitapa kununua Q7 kwa fedha zake mwenyewe? Wema huyu huyu aliyejimwambafy kwamba ameanzisha ENDILESI FEMU?