Hebu lala kwanzaHahahah asante mamii.
Yaani sijui naanza kufanya nini maana najua usingizi kwa sasa mpaka saa 7 au 8 usiku
Na baridi la huku ni balaaa
Ila raha ya kunywa na uliyemzoea kuna raha yake mwaya.
Nina anko wangu, akiona kuna watu anakunywa nao anawajua...basi anachapa usingizi kama yuko kitandani.
Akiamka utamsikia, nimelala na ninyi na nimeamka na ninyi.
Chezea ndole wewe....hahaha.
Eti anaenda Club Masai na analala kabisa afu yuko peke yake
Hahaha hahaha
Acha kubana wewe.
unataka bata ale na nani?
Wachuchu ndo sisi...maua ya dunia
Hongera
Mie nikiona mwanangu anakua, najua nazeeka kisha lazima nife...dah
Hahahhaπππ labda ukutane na strangers..na strangers mie naweza kuwajua..umiona unakunywa na mtu anakuwa anakulazimisha unywe anakumiminia tu mabia au akuambir uonje yake huyo kuwa naye makini...mie nimewah kiukwel kunywa na mshikaj fulan hakua na wenge wala nn.. aliniuliza tu unatumia jinywaj gan nikamtaji..kaja navyo kama vyoote tujasafiri umbali mrefu tunajinywea tuπππ..ah maisha yenyew robo haya..huwa nataman nipate marafik wa hvyo... mnajirusha kila mtu anarud kwake...sio nakunywa mara umenigusa kiuno ova mpenzioπ©π©π©π©π©π©π©!hapo naishia 3 tu
Umeisha mama.Hahaha hahaha
Uchovu umeisha eeeh
Hongera.πππ mie sijawah fikiria huko kbs..aku
Haya kakaPesa yake simbanii, anajua ni kwanini nimemwambia hayo maneno.
Jamani jamaniiUmeisha mama.
Ila sasa ndo naanza juta.
Dah!!!
Hahahha
Kuna wale bia zikikolea, wanasimamisha dushe.
Afu kuna wale anakuuliza unakunywa nini ukishamtajia anaenda kaunta na kurudi na bia zote zimefunguliwa.
Kuna siku niligoma kunywa bia.
Kaja na bia 4 zote kafungua.
Nikasema 2 wewe 2 mimi...akakataa.
Nikasema sinywi....waweza jikuta unaamkia mtaroni.
Afu mtu simjui.
ndo nimeingia na mie tuonane[emoji12]Waoooo
Aisee.
Tajiri uko Dodoma leo.
Ngoja nijiandae
πππ labda ukutane na strangers..na strangers mie naweza kuwajua..unaona unakunywa na mtu anakuwa anakulazimisha unywe anakumiminia tu mabia au akuambie uonje yake huyo kuwa naye makini...mie nimewah kiukwel kunywa na mshikaj fulan hakua na wenge wala nn.. aliniuliza tu unatumia jinywaj gan nikamtaji..kaja navyo kama vyoote tukasafiri umbali mrefu tunajinywea tuπππ..ah maisha yenyew robo haya..huwa nataman nipate marafik wa hvyo... mnajirusha kila mtu anarud kwake...sio nakunywa mara umenigusa kiuno ova mpenzioπ©π©π©π©π©π©π©!hapo naishia 3 tu
πππππππ..huyo noma..ukiona unalewa piga maji lita nzima unarudi kule kule.freshyyyKuna mtu nilishawahi onana naye day 1 anakunywa, anacheza muziki ananinyua tucheze, ananinyonya mate, ananikumbatia, yaani kama mtu na mpenzi wake. Muda wa kuondoka ilibidi nimwombe simu ya dada yake wa kazi atuelekeze njia. Nikafikisha akiwa hata hajui amefikaje. Niliona huruma sana.
HahaaaaaJamani jamanii
Hahahaaahao sasa ndo wabaya... inabid akili iwe actv sana..sinyiw na kila .mtu tu aisee..haha yule nilibahatika naye kwakwel..khaaa aliniuliza unapenda nn nikasema nipeleke club.. hahaa akaniambia yy hajui kucheza ila hatak ninunuliwe pombe na mtuππ..usk ule hautakuna jirudiaππ nilicheza hapo rainbowππππ jaman...!ah Mungu ahukumu tu kwakweli
Hapo ni mbele ya mtumbwi.