Madame B, Nimeingia dodoma, Njoo Malaika Lounge Ukutane na Mangi

Madame B, Nimeingia dodoma, Njoo Malaika Lounge Ukutane na Mangi

Hahahaaa
Ila mie sio siri napenda niende club alone .
Kama company nikutane nayo huko huko.
Huwa naacha kila kitu home naenda mimi kama mimi au lah naacha kaunta.
Nacheza weeeee mpaka saa 2 asubuhi


😂😂😂 mm hapana...hyo sitak..kushikana shikana kwingi ...dah jaman nayamish hayo maisha😂
 
Why so that nigga?

Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau

Mkuu napenda anonymity!

I cant trade that for anything!

Ku-meet na member mwenzio wa JF kitaa inahitaji roho ngumu kaa jiwe!

Inahitaji guts sio za dunia hii!

Wanaoweza nawapa big up sana aiseee!
 
Back
Top Bottom