Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Nan kasema uongo?? Au Nan muongo? Unaendika au anasikiliza?? Mbn kwa sabaya haukuwa uongo ila kwa mbowe Ni ukwel?? Achen imbalanceSwali rahisi tu, "unawezaje kusimama Mahakamani tena Kwa kuapa huku ukifahamu fika kuwa unayokwenda kushuhudia ni uongo mtupu?? Mungu hataniwi. Ni suala la muda tu Mungu atakwenda kutenda jambo dhidi ya wote wanaoshuhudia uongo kwa lengo la kuwaumiza wengine.
aliyemfanyia hizo dhuluma leo hii yuko wapi? kama hayupo ndio ujue kweli mungu hajaribiwi hata kidogoMTU huyu AMEONEWA SANA na UTAWALA wa Awamu ya 5
Ameharibiwa Shamba lake,Eneo lake la Biashara,Amefungiwa Akaunti zake,Amesingiziwa Kesi nyingi sana yeye na Viongozi wa Chadema
Ameharibiwa gari lake
Amedhulumiwa Ubunge wake
LEO ANABAMBIKIZIWA UGAIDI kwa Kuonewa
Hakika MUNGU ATAMLIPIA TU
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Penye usafi wa matendo, atajwe Mungu hata mara milioni.we ulitaka mungu atajwe wapi ndio uridhike?
Wafuasi wake hawataki kabisa kuliangalia hilo......wameng'ang'ana na upande mmoja tu wa shilingiMbowe mwenyewe anachopitia sasa hivi Ni matokeo ya kuonea na kuua watu.
Karma is a bitch.
Ukimzungumzia mbowe maana yake unaizungumzia cdm pia, hata wewe unalijua hilo na hauna ujanja wa kuliepuka. Isitoshe tunachokisikia huko mahakamani ni matendo yake yaliyoambatana na nia ya uchukuaji wa madaraka kupitia cdmTunamzungumzia Mbowe
Je, haiwezi kuwa nae analipa km alivyosuggest mdau mmoja hapo juu?!!!MTU huyu AMEONEWA SANA na UTAWALA wa Awamu ya 5
Ameharibiwa Shamba lake,Eneo lake la Biashara,Amefungiwa Akaunti zake,Amesingiziwa Kesi nyingi sana yeye na Viongozi wa Chadema
Ameharibiwa gari lake
Amedhulumiwa Ubunge wake
LEO ANABAMBIKIZIWA UGAIDI kwa Kuonewa
Hakika MUNGU ATAMLIPIA TU
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kuhusu lowasa na list of shame hamkuongopa na kisha mkamsafisha tena kwa uongo?Ndiyo utoke mbele utuhadithie kwa mifano na uhalisia kuhusu huo uongo na ghiliba.Usieleze kwa hisia tu bila ushahidi au vielelezo.
Hakusafishwa(usiwekee watu maneno vinywani)!Alipokewa tu ili asijinyonge kwa kudhani ametengwa kama alivyorubuniwa na Magufuli na kurudi CCM.Kuhusu lowasa na list of shame hamkuongopa na kisha mkamsafisha tena kwa uongo?
Hapo uadilifu wenu upo wapi?
Huyu atadumu milele, Chadema hawafi.Na mbowe atadumu milele au itakuaje?
Tumekuwa tukisikia malalamiko mengi sana. Mengi sana dhidi ya wenye madaraka wanaobambikia watu kesi za ajabu ajabu hasa za kisiasa. Ingawa watu wanaonewa kila kona, wanauwawa bila hatia na polisi kwa mfano kule Mtwara, kijana asiyekuwa na hatia kauwawa sababu ya dhulma.
WAALIFU Kama Urio, na Kingai wanalindwa. Lingwenya, Adamoo na Mbowe wanaozea jela
Wafanyabiashara wengi wamenyang'anywa mali zao. Raia wasio na silaha wala namna ya kujitetea ndio wananyanyswa na wenye madaraka na silaha za kila aina
Zaidi tunashuhudia Mheshimiwa Mbowe na vijana wake wakiwa gerezani kwa marisa yasiyoeleweka. Duniani tunapita, ila hawa watesi, Watengeneza kesi, wanaotetea hizi kesi za uonevu watapukutika mmoja baada ya mmoja. Hata kama ni kwa kulinda madaraka waliyo nayo, hawa ndugu zetu hawaweza kuishi kuijua kitu kiitwacho amani. Kama siyo wao, familia zoo zitaishi kwa mateso makubwa
Tunafika sehemu Mbowe anawekwa jela kwamba ni Ghaidi. Tusimchezee mtu aitwaye Mungu. Hawa watu hawataweza kuishi kuiona amani kutokana na uonevu wao. Magufuli, Makonda, Sabaya, Ndungai ni mfano hai...... Watch the space !
Karma is a BITCH!!
Matendo ya yule kiongozi wao yalidhihirisha dhahili kuwa uchaguzi ungekuwa huru na haki wangeanguka mapema asubuhi,Mungu hakupenda akaamua kuling'oa na kulifwekelea mbali shina.Wajifunze kwa hilo.Kipindi cha awamu ya 5 shughuli halali za vyama vya upinzani zilipigwa marufuku eti mpk wkt wa uchaguzi ujao. Uendeshaji wa chaguzi zote ulighubikwa na matendo ya ukiukwaji sheria, ghilba na uonevu wa wazi dhidi ya wapinzani.
Wapinzani waliwekwa ndani vipindi virefu kwa kesi za kubumba na bila option ya dhamana. Ni ktk nchi chache duniani ambapo watawala wanaoendesha ukandamizaji wa aina hii hawategemei pawepo na reaction.
Ktk historia ya dunia mara nyingi, ni matendo ya watawala yanayosababisha uvunjifu wa amani na "ugaidi"
Swali rahisi tu, "unawezaje kusimama Mahakamani tena Kwa kuapa huku ukifahamu fika kuwa unayokwenda kushuhudia ni uongo mtupu?? Mungu hataniwi. Ni suala la muda tu Mungu atakwenda kutenda jambo dhidi ya wote wanaoshuhudia uongo kwa lengo la kuwaumiza wengine.
Imekugusa kunako tayari umeshapanic. Narudia tena ni suala la muda tu fimbo ya Mungu Muumba wa Mbingu na Nchi itawaadhibu mashahidi wote walioapa Kwa jina lake kushuhudia uongo ili wenzao waumizwe.unatoa mfano wa kijinga sana. Hivi wewe ufanyayo gizani moyo wako Mungu angekuwa wa kisasi ungekuwa mzima. Acha kuhubiri mambo ya giza. Maisha ya hapa duniani tuna mengi sana kama binadamu tunafanya. Tena kwenye hayo mambo ya Siasa umkileta Mungu wa kisasi Mbowe naye angekuwa kama Sisi wengine kaangamizwa.
Hivi Kuna uchafu gani ambao haufanyiki hapa Tz huku Mitaani. Upumbavu wako wewe mkubwa na mtoa mada Ni kuwa na majibu kabla ya maswali hamjayaona.
Fimbo ya Mungu dhidi ya mashahidi wa uongo ipo pale pale bila kujali ni Mbowe ama la.Nan kasema uongo?? Au Nan muongo? Unaendika au anasikiliza?? Mbn kwa sabaya haukuwa uongo ila kwa mbowe Ni ukwel?? Achen imbalance
Uuf (ya lipumba) ni ccm B+, cuf bara (ya zito) ni ccm B. Cuf ya visiwani ndiyo wapinzani halisi.Mbona viko wazi tu hivyo mdau, hata haihitaji nguvu kuviona. Mfano mdogo tu, hamkomi Kuwaita cuf na act kuwa ni ccm b, wametumwa na ccm, siyo wapinzani n.k huku nyie ndio mnaohamia huko ccm.
Utakua mpumbavu kama Akina Kingai kama utaamini hivyoUkimzungumzia mbowe maana yake unaizungumzia cdm pia, hata wewe unalijua hilo na hauna ujanja wa kuliepuka. Isitoshe tunachokisikia huko mahakamani ni matendo yake yaliyoambatana na nia ya uchukuaji wa madaraka kupitia cdm
Kwa hiyo ninyi ni wafadhili wa mafisadi mlio watangaza kisha mnawafariji kwa kuwapa nafasi nyeti kwenye nchi?Hakusafishwa(usiwekee watu maneno vinywani)!Alipokewa tu ili asijinyonge kwa kudhani ametengwa kama alivyorubuniwa na Magufuli na kurudi CCM.
Hivi,huyo unayemuita fisadi,kwa sasa yupo chama gani?Halafu upime ulichouliza.Kwa hiyo ninyi ni wafadhili wa mafisadi mlio watangaza kisha mnawafariji kwa kuwapa nafasi nyeti kwenye nchi?
Basi hamfai kuwa chama cha jamii labda mbaki na uongozi wa ukoo