Tetesi: Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana. Je, Lukuvi kumpiku Majaliwa?

Tetesi: Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana. Je, Lukuvi kumpiku Majaliwa?

Nimeuliza ili kupata majibu baada ya tetesi kunifikia , naomba mwenye kujua zaidi atueleweshe.

Na wala haishangazi, hii ni kwa vile uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti, anayeanza siyo anayemaliza.
Mkuu kwa Sasa Mambo yao tuwaachie,

Nashauri kwa Sasa chadema kuanzisha chadema family nchi nzima ili wanachama popote walipo waweze kuwa umoja imara wa kusaidiana katika shida na Raha, huu mpango nafikili ulikuepo so nafikili ni mda wa kuimarisha zaidi na utekelezaji wake uanze Mara moja wakati mengine ndani ya chama yakiendelea.
 
Nimeuliza ili kupata majibu baada ya tetesi kunifikia , naomba mwenye kujua zaidi atueleweshe.

Na wala haishangazi, hii ni kwa vile uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti, anayeanza siyo anayemaliza.
Unasema uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti. Je, mbowe amemuachia Nani kijiti?
 
Wewe dada mapema hii umesha nyoosha na mikono, nilikuwa nakuona Kamanda kwelikweli kumbe ni Kamanda nyuma ya keyboard tu.

Kamanda wa kweli atabaki kuwa Mbowe tu ambae angalau amejaribu kuonyesha ukamanda wake, nyie Hawa makamanda JF ni wanafiki na wapiga kelele wa online tupu Wala hamna faida ndani na nje ya Chama.
Kwani wewe upo mbele ya keyboard? Nyinyi CCM mnaokaa nyuma ya keyboard hamna faida na CCM zaidi ya wengi kushinda mkivuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba, CCM hutumia pesa za walipa kodi pesa za viwanda kulazimisha kupendwa na sasa imetumia hizo hizo pesa kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi kwa njia haramu za kishetani, hakuna CCM mjanja wote Ubongo wao upo stoo kwa polepole wanatumia Ubongo wake kuishi
 
Nimeuliza ili kupata majibu baada ya tetesi kunifikia, naomba mwenye kujua zaidi atueleweshe.

Na wala haishangazi, hii ni kwa vile uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti, anayeanza siyo anayemaliza
Majaliwa anarudi na pia Ndungai na Tulia wanarudi kuwa masipika na hata Bashite Makonda anapewa cheo kikubwa?
 
Nimeuliza ili kupata majibu baada ya tetesi kunifikia , naomba mwenye kujua zaidi atueleweshe.

Na wala haishangazi, hii ni kwa vile uongozi ni kama mbio za kupokezana vijiti, anayeanza siyo anayemaliza.
Tuliwaambia baada ya wiki mtaanza kujadili baraza la mawaziri na kukosoa, uchaguzi tupa kule, mnacheza ngoma ya CCM... kwa makamanda waliopambania chama na wapo kizuizini poleni wenzenu wapo busy kukosoa uteuzi mpambane kupata dhamana wenyewe
 
Majaliwa amekuwa very loyal PM na mtekelezaji. Iweje amuache huku akiendelea na Mh. Samia? Majaliwa amejitahidi mno uongozi anastajili second term.
Lukuvi ana udikiteta akiwa waziri mkuu atanyanyasa watu, hachelewi kuwa kama marehemu sokoine
 
Uwaziri mkuu hata wakimpa huyu jamaa fresh tu,ni wao tu.
ElmwDDRUcAAeHkP.jpg
 
Tuliwaambia baada ya wiki mtaanza kujadili baraza la mawaziri na kukosoa, uchaguzi tupa kule, mnacheza ngoma ya CCM... kwa makamanda waliopambania chama na wapo kizuizini poleni wenzenu wapo busy kukosoa uteuzi mpambane kupata dhamana wenyewe
ukiwa na akili nyembamba si rahisi kuelewa haya mambo
 
Lakn mkuu ulidai Lissu asipoapishwa bas ndo mwisho wa tz vip mbna thread zako zinaonyesha tz inasonga mbele .....
Ha ha ha haaaaa,, tumeshafamba mkuu, imebidi tuwe wapole tu! Tulivyokuwa tunajitapa kwenye majukwaa utafikri tulikuwa na jeshi la USA nyuma yetu! Mara utasikia tutabana mpaka kieleweke, mara oooh uonevu sasa basiiii, wizi wa kura sasa basiiii! Kumbe sisi walainiiiii,, nimeamua kurudi CCM, maana huku tunapoteza muda wetu bure kumbe mijitu yenyewe haijajipanga! Watu wamedhulumiwa ushindi wao wa ubunge hivi hivi tunaona!!
 
Lini nyie mkawa na huruma na hii nchi ? Mnaonea huruma billion 33 at the same time mnaomba incentive from abroad zikate , sku zote unafiki ni kama dhambi ya uchawi
Ulivyoipachika hadi hata anaumia asiyelengwa. Wajifunze hao waparaganyaji wa Tanzania. Wanataka kuleta maendeleo wakati wanapinga maendeleo. Nashauri mzalendo mmoja awaanzishie "siredi" ya kuwataka na kuwalazimisha hawa ("watake, wasitake") ili wabadilishe jina liwe Chama cha Demoghasia & Maombolezo.
 
Lukuvi na Majaliwa hawapishani kiutendaji but Lukuvi ni harsh zaidi, Kwa vile ni swahiba wa mda mrefu wa mkuu , huenda akamwachia kiti 2025 so lazima awe kwenye better position, istoshe Lukuvi yupo aware Sana na miradi mizito ya mkuu ambayo kimsingi hata 2025 haitakuwa imekamilika, hvyo ili ikamilike inahtaji atayepokea kijiti awe more experienced kwenye serikali kitu ambacho majaliwa anakosa lakni Lukuvi anacho. Lakn mkuu ulidai Lissu asipoapishwa bas ndo mwisho wa tz, vip mbna thread zako zinaonyesha tz inasonga mbele?
Elimu yake? Nasikiaga ni standard 7
 
Ha ha ha haaaaa,, tumeshafamba mkuu, imebidi tuwe wapole tu! Tulivyokuwa tunajitapa kwenye majukwaa utafikri tulikuwa na jeshi la USA nyuma yetu! Mara utasikia tutabana mpaka kieleweke, mara oooh uonevu sasa basiiii, wizi wa kura sasa basiiii! Kumbe sisi walainiiiii,, nimeamua kurudi CCM, maana huku tunapoteza muda wetu bure kumbe mijitu yenyewe haijajipanga! Watu wamedhulumiwa ushindi wao wa ubunge hivi hivi tunaona!!
Heri yako umeongea ukweli ila makamanda watakupinga na kukwambia komaa Kamanda
 
Ha ha ha haaaaa,, tumeshafamba mkuu, imebidi tuwe wapole tu! Tulivyokuwa tunajitapa kwenye majukwaa utafikri tulikuwa na jeshi la USA nyuma yetu! Mara utasikia tutabana mpaka kieleweke, mara oooh uonevu sasa basiiii, wizi wa kura sasa basiiii! Kumbe sisi walainiiiii,, nimeamua kurudi CCM, maana huku tunapoteza muda wetu bure kumbe mijitu yenyewe haijajipanga! Watu wamedhulumiwa ushindi wao wa ubunge hivi hivi tunaona!!
Hakuna dhuluma. Wananchi wamewakataeni na sera yenu mbaya
 
Kiukweli Waziri mkuu alipaswa kuwa Lukuvi Tangu awali.
Walifanya hivyo tu kimkakati zaidi .

Kwa hiyo nadhani Lukuvi ni mtu sahihi zaidi na mbunifu kuliko aliyemaliza muda wake .
Lukuvi ni mbunifu sana na mchapakazi kwa kiwango cha juu sana. Lakini pia sio mtu wa starehe zaidi ya kazi tuu.

Any way hata iyemaliza muda wake naye sio mbaya sana. Anajitahidi kupiga kelele lakini sio mbunifu kivile ukimlinganisha na Lukuvi.

Niketeeni Lukuvi.
Yule alikimbia mpaka Ushindani kwa kuwahujumu wagombea wote wa upinzani na kupita kinyemela. Mungu anamuona. Hakupaswa kutumia mpunga kuupata ubunge . Imemletea picha mbaya sana na kuonyesha kuwa ameshindwa kuonyesha mfano mzuri wa kusimamia sheria za nchi katika kujenga Utawala bora na Demokrasia.
 
Huyu ambaye alizungumza kanisani kuwa Tanganyika inaikalia Zanzibar kwa sababu Majority ya watu wa huko ni Waislamu?

Huyu na Jiwe ni walewale tu, wadini wa kutupwa!

View attachment 1620407
Simpendi Jiwe ila huyu jamaa alichokiongea kwenye hiyo video ni ukweli mtupu. Zanzibar ukiacha waanzishe serikali ya kiislamu jiandae kuona magaidi wanasukwa, itakua centre nzuri sana ya makubdi yote ya kigaidi kama alshabaab kwenda kusettle Zanzibar. Then baada ya miaka michache wataanza kutusumbua bure. Zanzibar sio ya kuachwa iangukie huko hata siku moja.
 
Back
Top Bottom