Kifaurongo
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 4,221
- 2,359
Hivi kinachotakiwa ni Katiba mpya au katiba yenye maudhui mazuri? Kenya walidhani katiba mpya ndio suluhisho, baada ya mwaka tu ikaanza kulalamikiwa na kurekebishwa. Sasa wanapambambana na BBI. Hata iwe kubwa kama biblia, Katiba mpya sio suluhisho la kudumu.Kama huo ujasiri wao hatuna, narudia tena, hapa kwetu bila Katiba Mpya hatuwezi kuwaondoa CCM, wanetapakaa kila mahali, mpaka kwenye vyombo vya usalama.
Tukubaliane kimsingi, Watanzania ndio tatizo na sio katiba. Vyama vilivyo leta ukombozi katika nchi za Kiafrica ambavyo bado vipo madarakani nadhani havizidi 6, ccm ikiwa ni mojawapo, hivyo vya nchi zingine walau sababu za msingi zipo but not Tanzania. Kwa faida tu ya vijana, vyama hivyo ni Frelimo cha Msumbiji, Angola, Namibia, Africa Kusini na Zimbabwe, the rest of Africa, vyama vyote vilivyopo madarakani sio vilivyo pigania Uhuru. Hizo nchi zingine (ukiondoa Zimbabwe ambayo ni kama kwetu tu ) nchi zao zimekua na matatizo lukuki baada ya Uhuru na zingine zimepata uhuru hata miaka 30 bado, SA na Namibia. So Bongo tusije jilinganisha na nchi zingine, siye tuna matatizo makubwa mno ya kifikra.Ukitaka kujua katiba ya Tz ni nzuri ngoja siku upinzani ushike nchi hautataka kuibadili hata kidogo
Kweeeli kabisa mkuu , umenena, wana tamaa kuliko hata fisi .lakini siyo hawa kwa kweli wanatia aibu hata hawajui wanataka nini wangekuwa wameshaiondoa ccm muda mrefu sana tatizo tamaa
View attachment 1909476
View attachment 1909477
unarukia kila kitu !Kweeeli kabisa mkuu , umenena, wana tamaa kuliko hata fisi .
Anaenda kujiajiriAnarud mtaani
Mi nimeona muondoko kama wa wacko jackoMbona anatembea kama marehemu dk shika
Usichojua ni kwamba upinzani Zambia wameshinda urais chini ya Tume inayoteuliwa na rais na pia chini Katiba ya zamani.Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.
Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.
Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.
Tatizo la TZ siyo tume ya uchaguzi, tatizo la TZ ni wapinzani vigeugeu wasio na mipango endelevu (Ref uchaguzi wa 2015)Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.
Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.
Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.
2015 kulikuwa na nini ?Tatizo la TZ siyo tume ya uchaguzi, tatizo la TZ ni wapinzani vigeugeu wasio na mipango endelevu (Ref uchaguzi wa 2015)
kumtosa Slaa mpango wa muda mrefu, kumchukua Lowassa short term solution2015 kulikuwa na nini ?
Ulitaka nimrukie dj mbohe kama wewe , unajidemukaunarukia kila kitu !
Huna hojaUlitaka nimrukie dj mbohe kama wewe , unajidemuka
Wewe je ? Vile mjinga na hujijui , kilaza Plus plusHuna hoja
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Wewe je ? Vile mjinga na hujijui , kilaza Plus plus
Viongozi wa Tanzania mjifunze kwa huyu jamaaRais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .