Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Nani aliyesema Hichilema ?Huyo sio Haichelema alikuepo ni waziri mwingine wa Edgar Lungu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliyesema Hichilema ?Huyo sio Haichelema alikuepo ni waziri mwingine wa Edgar Lungu...
Ohooooo!!Mbona anatembea kama marehemu dk shika
Na wengine walipinga corona na hiyo hiyo corona ikawamaliza.Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
You can only see others as clearly as you see yourself. Hence, when you learn to depend on yourself, you will be happier in life.Anarud mtaani
Afrika hii upumbavu hauwezi kuisha,kumbe Tulikuwa tunawaonea bure akina fulaniRais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Hilo ndo jibu.lkn kwa mbinyo huu,tusubiri ni swala muda tuu.time will tellWananchi wakiamua itawezekana lakiini historia ya upole wa watanzania ndiyo inayofanya mambo yawe yalivyo. Mambo ya kuudhi ni mengi lakini wanashindwa kuonesha kuwa hawajapendezwa nayo, ni kulalamika tu pasipo actions(vitendo) na hasa hao wa maisha ya chini zaidi. Huwaambii kitu kuhusu watawala, na huwasaidia pia kuwaweka madarakani kwani wao hasa ndiyo hupiga kura kuliko daraja la kati..
Siku yaja punde bila kutazamiwa. Heri wangebaki na mpinzani aliyeonekana km adui, wao kwa wao wanaendelea kulana pole pole....Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.
Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.
Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.
Mungu wabariki WazunguTofauti yetu na weupe ni kubwa mno, iwe katiba mpya au ya zamani, wanaotafsiri katiba hiyo ni wale wale.
Utawala huu, vyeti feki ni kosa, utawala ujao, yule yule anasema sio kosa.
Kwani imewahi kushinda au inajitangazaga?lakini siyo hawa kwa kweli wanatia aibu hata hawajui wanataka nini wangekuwa wameshaiondoa ccm muda mrefu sana tatizo tamaa
View attachment 1909476
View attachment 1909477
Mkuu scha ujinga wa kuamini kwamba tatizo ni katiba.Kama huo ujasiri wao hatuna, narudia tena, hapa kwetu bila Katiba Mpya hatuwezi kuwaondoa CCM, wanetapakaa kila mahali, mpaka kwenye vyombo vya usalama.
Huko anaenda kukutana na Spana si za nchi yakeAnarud mtaani
Na siyo msururu wa wenye mitutu, Bali na mtu mmoja tuuuuu. KINACHODUMU MILELE NI MILIMA TU. By Samba Mapangala.Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Hivi yule dizaina wake wa suit mbongo wa kkoo ataendelea kumdisgner au ndio ajira basi tena....nayule mshauri wake wa ICT sijui uchumi yule Mdada wa Tanzania tuseme nae ndio ajira basi?Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Waafrica tuna laana mkuu, ukipata madaraka unasahau shida zote unajiona ni zaidi ya MUNGURais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Madaraka huwa yanawachanganya snNa siyo msururu wa wenye mitutu, Bali na mtu mmoja tuuuuu. KINACHODUMU MILELE NI MILIMA TU. By Samba Mapangala.
Hivi yule dizaina wake wa suit mbongo wa kkoo ataendelea kumdisgner au ndio ajira basi tena....nayule mshauri wake wa ICT sijui uchumi yule Mdada wa Tanzania tuseme nae ndio ajira basi?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ndo mambo aliyojiogopea MwendazakeRais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .
View attachment 1909417
Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura
View attachment 1909418
Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Ukitaka kujua katiba ya Tz ni nzuri ngoja siku upinzani ushike nchi hautataka kuibadili hata kidogoUchaguzi wao wa kwanza uliomuondoa baba wa taifa lao madarakani, walitumia katiba hiyo hiyo. Nahisi suala la katiba mpya Tanzania tunalipa sana promo, tatizo Tanzania sio katiba, tatizo la Tanzania ni Watanzania wenyewe, sio katiba. Kama uliufatilia vizuri uchaguzi wa Zambia hu wa juzi, jamaa walitaka kuchakachua matokeo kama hapa kwetu, walifunga hadi mitandao ya simu kama ilivyo fanyika hapa kwetu, wananchi hawakukubali na kilichotokea ni historia, ndio huyo bwana Rungu anaondoka Ikulu bila escort. Tusisingizie katiba, sisi ndio sio
Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.
Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.
Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.