Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana, kutoka kupigiwa magoti hadi kusindikizwa nje ya Ikulu

Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana, kutoka kupigiwa magoti hadi kusindikizwa nje ya Ikulu

Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Na wengine walipinga corona na hiyo hiyo corona ikawamaliza.
 
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Afrika hii upumbavu hauwezi kuisha,kumbe Tulikuwa tunawaonea bure akina fulani
 
Wananchi wakiamua itawezekana lakiini historia ya upole wa watanzania ndiyo inayofanya mambo yawe yalivyo. Mambo ya kuudhi ni mengi lakini wanashindwa kuonesha kuwa hawajapendezwa nayo, ni kulalamika tu pasipo actions(vitendo) na hasa hao wa maisha ya chini zaidi. Huwaambii kitu kuhusu watawala, na huwasaidia pia kuwaweka madarakani kwani wao hasa ndiyo hupiga kura kuliko daraja la kati..
Hilo ndo jibu.lkn kwa mbinyo huu,tusubiri ni swala muda tuu.time will tell
 
Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.

Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.

Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.
Siku yaja punde bila kutazamiwa. Heri wangebaki na mpinzani aliyeonekana km adui, wao kwa wao wanaendelea kulana pole pole....
 
Kama huo ujasiri wao hatuna, narudia tena, hapa kwetu bila Katiba Mpya hatuwezi kuwaondoa CCM, wanetapakaa kila mahali, mpaka kwenye vyombo vya usalama.
Mkuu scha ujinga wa kuamini kwamba tatizo ni katiba.

Kuamini hivyo ni ujinga mkubwa sana.

Tatizo ni watu wala sio katiba..
 
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Na siyo msururu wa wenye mitutu, Bali na mtu mmoja tuuuuu. KINACHODUMU MILELE NI MILIMA TU. By Samba Mapangala.
 
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Hivi yule dizaina wake wa suit mbongo wa kkoo ataendelea kumdisgner au ndio ajira basi tena....nayule mshauri wake wa ICT sijui uchumi yule Mdada wa Tanzania tuseme nae ndio ajira basi?

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Waafrica tuna laana mkuu, ukipata madaraka unasahau shida zote unajiona ni zaidi ya MUNGU
 
Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi wa kiafrika waliopenda kuabudiwa , ilifikia hadi Mawaziri kumpigia Magoti .

View attachment 1909417

Picha ya Chini akisindikizwa kuondoka Ikulu baada ya kukataliwa na wananchi kwenye sanduku la kura

View attachment 1909418

Kwenye maisha ya kila siku tunapaswa kuheshimiana na kuthaminiana .
Ndo mambo aliyojiogopea Mwendazake
 
Uchaguzi wao wa kwanza uliomuondoa baba wa taifa lao madarakani, walitumia katiba hiyo hiyo. Nahisi suala la katiba mpya Tanzania tunalipa sana promo, tatizo Tanzania sio katiba, tatizo la Tanzania ni Watanzania wenyewe, sio katiba. Kama uliufatilia vizuri uchaguzi wa Zambia hu wa juzi, jamaa walitaka kuchakachua matokeo kama hapa kwetu, walifunga hadi mitandao ya simu kama ilivyo fanyika hapa kwetu, wananchi hawakukubali na kilichotokea ni historia, ndio huyo bwana Rungu anaondoka Ikulu bila escort. Tusisingizie katiba, sisi ndio sio
Ukitaka kujua katiba ya Tz ni nzuri ngoja siku upinzani ushike nchi hautataka kuibadili hata kidogo
 
Hapa kwetu bila Katiba Mpya hilo haliwezi kutokea kamwe, Zambia walishaachana na huu utumwa tulionao sisi muda mrefu uliopita.

Ndio maana maamuzi ya wengi yanaonekana kwenye sanduku la kura na kuleta mabadiliko ya uongozi kwenye taifa lao.

Hapa kwetu hali ni tofauti, kikundi cha maafisa wachache wa Tume ya uchaguzi kinatuamulia mshindi kila wakati wa ucahguzi unapofika.

Utafika muda ambapo yote hayo hayatawasaidia...

Ukifika wakati wa mwisho wa jambo fulani, hakuna anayeweza kuzuia mwisho wake...

Hakuna struggle iliyokuwa ngumu kama ya kuondoa utawala wa ubaguzi wa rangi wa wazungu wachache South Africa. Lakini ulipofika wakati waliondoka bila ya KATIBA MPYA...!!

Hakuna struggle iliyokuwa ngumu yenye watawala wenye jeuri na kiburi kama wakoloni walioitawala Tanganyika. Lakini ulipofika wakati waliondolewa tena kirahisi bila KATIBA MPYA...!!

Hata hawa CCM nakuambia wataondoka na kuanguka kirahisi sana na utakuja kushangaa na baada ya anguko lao ndipo KATIBA YA WANANCHI itaandikwa...!!!
 
Back
Top Bottom