Pre GE2025 Madaraka Nyerere aeleza maoni ya Mama Maria Nyerere kuhusu Uchaguzi wa CHADEMA, asema uchaguzi umeenda vizuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Saa100 amejifunza nini kufuatia uchaguzi wa Chadema!!!
 

Attachments

  • 5938169-3f8437b06df44d0a7c8b8e175f481762.mp4
    23 MB



So bwana madaraka anataka kutupa Ujumbe gani?
 
Yeye Madaraka alitaka akaseme bila kuulizwa?
 
Mama Maria Nyerere yuko vizuri upstairs
Kule Geita aliwashushua CCM kwenye kumbukizi ya Mwalimu ambayo ingestahili kufanyika Mwitongo, alisema "mimi niliona mmenibeba na kunileta hapa mnataka niseme, sijui niseme nini huku!".
 
Uyu mama wa Taifa yuko vizuri pamoja na uzee , kuna mkutano mmoja alifanya mwenda zake pale mwanza ,mama yetu alitaja ,kwamba ameletwa kuongozea vichwa
Tangu siku ile hawataki tena kumuona mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…