Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 2,833
- 1,301
MADARASA YA RAIS SAMIA- JIMBO LA NAMTUMBO
Tunaishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutatua changamoto ya miundombinu ya Elimu yaani madarasa 102.
Wanafunzi Wameripoti Shuleni
Wilaya ya Namtumbo kwa Mwaka 2021/2022 ilipata jumla ya mgao wa Madarasa 102 kwa Shule za Sekondari mbalimbali na baadhi kwa Shule Shikizi. Madarasa hayo yalitolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt SAMIA SULUHU HASSAN kwa lengo la kupungua uhaba wa vyumba vya madarasa kwenye Shule mbalimbali nchini ikiwemo na NAMTUMBO. Sasa madarasa yote yamekamilika na wanafunzi wameanza kuyatumia mwezi Januari 2023 mara baada ya Shule kufunguliwa tarehe 09.
NAMTUMBO TUNASEMA "AHSANTE MAMA ENDELEA KUUPIGA MWINGI"
#KaziIendelee......
Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Namtumbo