Madarasa ya Uongozi yaliruka baadhi ya Mada?

Madarasa ya Uongozi yaliruka baadhi ya Mada?

Na Thadei Ole Mushi

Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo limeripoti habari hii pitia link ifuatayo kuona:-.


Mwaka 218 kwenda 2019 China iliizingua Sana Zambia wakati ilipotaka kushikilia Shirika la uzalishaji Umeme la ZESCO baada ya Zambia kushindwa kuwalipa Deni Leo.

Huko Sri-Lanka nako wachina wameshikilia Bandari ya nchi hiyo kwa Lengo lile lile la kulipa madeni ya China.

Mwaka Huu China wamewakatalia Kenya kuongeza Muda wa Kulipa Deni lake wanalowadai Kenya hivyo wanataka kushikilia Bandari ya Mombasa. Uhuru Kenyata ameenda kuwaangukia IMF kuona kama wanaweza kuwasaidia kuwalipa wachina Hilo Deni kuokoa Bandari yao isichukuliwenna wachina. Fuata Link hii hapa kusoma:-.


Niliwahi kuwasimulia namna Sera ya "conspirancy" inavyofanya kazi Afrika na mataifa mengine na Leo tumepata mfano halisi toka Uganda.

John Perkins kupitia kitabu chake "Confession of an Economic Hit man" anatufunulia jinsi sera ya Conspiracy inavyofanya kazi Duniani.

Perkins anaelezea kazi aliyokuwa akiifanya bila yeye kujua kwenye Kampuni la MAIN (Consulting and engineering Company)

Aliajiriwa kama mfanyakazi kwenye kampuni hiyo ambalo ni Kampuni binafsi ila shughuli zake ziliathiriwa na mkono wa Serikali (Ujasusi) bila yeye kujua.

Kazi yake kubwa ilikuwa ni kushawishi nchi maskini zikope mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa katika nchi zao. Miradi kama vile ujenzi wa miundombinu ya Reli,Ujenzi wa Mabwawa ya Umeme, ujenzi wa Bandari, Viwanja vya Ndege nk ambapo utasaidiwa kukopeshwa aidha na World bank, IMF au USAID.

Perkins alikuja kugundua kuwa njia hii ya kukopesha mikopo mikubwa ambayo hailipiki ni njia mojawapo ya Taifa la Marekani kuendelea kupata maeneo ya kunyonya katika nchi maskini.

Perkins anatoa mifano jinsi alivyofanikisha kuingiza Indonesia kwenye Mtego huo na nchi nyingine nyingi.

Kwa Sasa China anatumia Sana "CONSPIRACY POLICY" kiutawala Dunia hasa Afrika Kiuchumi.

Kwa nchi ambazo zinaendelea na zenye rasilimali kama Gesi, Madini na mafuta Marekani na Sasa China huwa hawalali kwenye kuhakikisha inatafuta kuwakopesha.

Wakati tukifuatilia huko Uganda tuendelee kufshamu kuwa Mwaka Jana Serikali ya Awamu ya Tano ilikopa pale Standard Charter Trilion 3.3 za Kujenga SGR Fuata Link kusoma.


Tukiendelea kusoma hayo ya Standard Charter tufahamu pia kuwa pale Exim bank ya China mwaka 2016 tulifanya nao makubaliano ya kupatiwa USD 7.6 Bilioni fuata link tupunguze maneno mengi.


Link ya Mwisho hapo juu isomwe pamoja na hii hapa chini


Kwa Sasa hivi China Pekee imeshakopesha nchi mbalimbali za Africa USD 148 Bilion. Na Inaendelea kukopesha, poleni sana Uganda njia yetu ni Moja waafrica Wote.

Ole Mushi
0712702602

View attachment 2027052
Bora wana ccm walizifaidi. Sisi wapinzani tutalipa kitu ambacho hatukupata hata pesa ya soda.
 
Walikopeshana wenyewe kwa wenyewe kwa masharti nafuu. Mfano Uingereza walikopeshwa na wamarekani kwa masharti nafuu wakati wa vita ya pili ya dunia nk.
Hata sisi Jiwe na Sasa Mwigulu wanatwambia ni mikopo ya masharti nafuu
 
Yupo huku anakibidhi shule walio jenga kwa fedha zao ( mu7 bwana anafurahisha)
Ni sawa mtu unamdai una hata pesa ya kula then unamkuta Bar anatanua meza imejaa Vodka na Nyama ya kuchoma kazungusha. Huku anakwambia hana pesa.
 
Bora wana ccm walizifaidi. Sisi wapinzani tutalipa kitu ambacho hatukupata hata pesa ya soda.
Hata nyie wapinzani mmezifaidi hela za mikopo. Kwani yale mabomu ya machozi, maji ya kuwasha na virungu mlivyokua mnapigwa unadhani vilinunuliwa kwa pesa gani?😀😀😀
 
Thadei Ole Mushi mada zako za TANURU uziweke pia na huku kama hii.

Pole Pole ni Mchumia Tumbo, Mafikizolo,Gweregwere na Inzile niliilewa sana ile mada.
 
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2331]
 
Na Thadei Ole Mushi

Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo limeripoti habari hii pitia link ifuatayo kuona:-.


Mwaka 218 kwenda 2019 China iliizingua Sana Zambia wakati ilipotaka kushikilia Shirika la uzalishaji Umeme la ZESCO baada ya Zambia kushindwa kuwalipa Deni Leo.

Huko Sri-Lanka nako wachina wameshikilia Bandari ya nchi hiyo kwa Lengo lile lile la kulipa madeni ya China.

Mwaka Huu China wamewakatalia Kenya kuongeza Muda wa Kulipa Deni lake wanalowadai Kenya hivyo wanataka kushikilia Bandari ya Mombasa. Uhuru Kenyata ameenda kuwaangukia IMF kuona kama wanaweza kuwasaidia kuwalipa wachina Hilo Deni kuokoa Bandari yao isichukuliwenna wachina. Fuata Link hii hapa kusoma:-.


Niliwahi kuwasimulia namna Sera ya "conspirancy" inavyofanya kazi Afrika na mataifa mengine na Leo tumepata mfano halisi toka Uganda.

John Perkins kupitia kitabu chake "Confession of an Economic Hit man" anatufunulia jinsi sera ya Conspiracy inavyofanya kazi Duniani.

Perkins anaelezea kazi aliyokuwa akiifanya bila yeye kujua kwenye Kampuni la MAIN (Consulting and engineering Company)

Aliajiriwa kama mfanyakazi kwenye kampuni hiyo ambalo ni Kampuni binafsi ila shughuli zake ziliathiriwa na mkono wa Serikali (Ujasusi) bila yeye kujua.

Kazi yake kubwa ilikuwa ni kushawishi nchi maskini zikope mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa katika nchi zao. Miradi kama vile ujenzi wa miundombinu ya Reli,Ujenzi wa Mabwawa ya Umeme, ujenzi wa Bandari, Viwanja vya Ndege nk ambapo utasaidiwa kukopeshwa aidha na World bank, IMF au USAID.

Perkins alikuja kugundua kuwa njia hii ya kukopesha mikopo mikubwa ambayo hailipiki ni njia mojawapo ya Taifa la Marekani kuendelea kupata maeneo ya kunyonya katika nchi maskini.

Perkins anatoa mifano jinsi alivyofanikisha kuingiza Indonesia kwenye Mtego huo na nchi nyingine nyingi.

Kwa Sasa China anatumia Sana "CONSPIRACY POLICY" kiutawala Dunia hasa Afrika Kiuchumi.

Kwa nchi ambazo zinaendelea na zenye rasilimali kama Gesi, Madini na mafuta Marekani na Sasa China huwa hawalali kwenye kuhakikisha inatafuta kuwakopesha.

Wakati tukifuatilia huko Uganda tuendelee kufshamu kuwa Mwaka Jana Serikali ya Awamu ya Tano ilikopa pale Standard Charter Trilion 3.3 za Kujenga SGR Fuata Link kusoma.


Tukiendelea kusoma hayo ya Standard Charter tufahamu pia kuwa pale Exim bank ya China mwaka 2016 tulifanya nao makubaliano ya kupatiwa USD 7.6 Bilioni fuata link tupunguze maneno mengi.


Link ya Mwisho hapo juu isomwe pamoja na hii hapa chini


Kwa Sasa hivi China Pekee imeshakopesha nchi mbalimbali za Africa USD 148 Bilion. Na Inaendelea kukopesha, poleni sana Uganda njia yetu ni Moja waafrica Wote.

Ole Mushi
0712702602

View attachment 2027052

[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Si umesema hujasoma?
Sasa kama Uganda wanachukuliwa kwa hiyo Dola 200, wewe ni nani mpaka ushangae na kubisha?
Sikusoma hiyo takataka, hiyo haina maana sina taarifa juu ya hiyo habari ya Uganda na uwanja wao wa ndege.

Kama wewe unategemea haya matakataka kama chanzo chako cha habari, usidhani sote tupo kama wewe.
 
Bagamoyo haijengwi kwa pesa ya mchina, inajengwa kwa pesa ya Sultan wa Oman. Halafu kumbuka Bagamoyo ni sehemu ya ule ukanda wa bahari wa maili kumi ambayo hadi sasa ni mali ya sultan. Mwacheni sultani ajenge nchi yake.
Tena mali ya Sultan,, yuko wapi?
 
Na Thadei Ole Mushi

Uganda ipo mbioni kupoteza umiliki wa Uwanja wake wa ndege wa Entebe baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja huo wa Entebe. Gazeti la Mwananchi Leo limeripoti habari hii pitia link ifuatayo kuona:-.


Mwaka 218 kwenda 2019 China iliizingua Sana Zambia wakati ilipotaka kushikilia Shirika la uzalishaji Umeme la ZESCO baada ya Zambia kushindwa kuwalipa Deni Leo.

Huko Sri-Lanka nako wachina wameshikilia Bandari ya nchi hiyo kwa Lengo lile lile la kulipa madeni ya China.

Mwaka Huu China wamewakatalia Kenya kuongeza Muda wa Kulipa Deni lake wanalowadai Kenya hivyo wanataka kushikilia Bandari ya Mombasa. Uhuru Kenyata ameenda kuwaangukia IMF kuona kama wanaweza kuwasaidia kuwalipa wachina Hilo Deni kuokoa Bandari yao isichukuliwenna wachina. Fuata Link hii hapa kusoma:-.


Niliwahi kuwasimulia namna Sera ya "conspirancy" inavyofanya kazi Afrika na mataifa mengine na Leo tumepata mfano halisi toka Uganda.

John Perkins kupitia kitabu chake "Confession of an Economic Hit man" anatufunulia jinsi sera ya Conspiracy inavyofanya kazi Duniani.

Perkins anaelezea kazi aliyokuwa akiifanya bila yeye kujua kwenye Kampuni la MAIN (Consulting and engineering Company)

Aliajiriwa kama mfanyakazi kwenye kampuni hiyo ambalo ni Kampuni binafsi ila shughuli zake ziliathiriwa na mkono wa Serikali (Ujasusi) bila yeye kujua.

Kazi yake kubwa ilikuwa ni kushawishi nchi maskini zikope mikopo kwa ajili ya miradi mikubwa katika nchi zao. Miradi kama vile ujenzi wa miundombinu ya Reli,Ujenzi wa Mabwawa ya Umeme, ujenzi wa Bandari, Viwanja vya Ndege nk ambapo utasaidiwa kukopeshwa aidha na World bank, IMF au USAID.

Perkins alikuja kugundua kuwa njia hii ya kukopesha mikopo mikubwa ambayo hailipiki ni njia mojawapo ya Taifa la Marekani kuendelea kupata maeneo ya kunyonya katika nchi maskini.

Perkins anatoa mifano jinsi alivyofanikisha kuingiza Indonesia kwenye Mtego huo na nchi nyingine nyingi.

Kwa Sasa China anatumia Sana "CONSPIRACY POLICY" kiutawala Dunia hasa Afrika Kiuchumi.

Kwa nchi ambazo zinaendelea na zenye rasilimali kama Gesi, Madini na mafuta Marekani na Sasa China huwa hawalali kwenye kuhakikisha inatafuta kuwakopesha.

Wakati tukifuatilia huko Uganda tuendelee kufshamu kuwa Mwaka Jana Serikali ya Awamu ya Tano ilikopa pale Standard Charter Trilion 3.3 za Kujenga SGR Fuata Link kusoma.


Tukiendelea kusoma hayo ya Standard Charter tufahamu pia kuwa pale Exim bank ya China mwaka 2016 tulifanya nao makubaliano ya kupatiwa USD 7.6 Bilioni fuata link tupunguze maneno mengi.


Link ya Mwisho hapo juu isomwe pamoja na hii hapa chini


Kwa Sasa hivi China Pekee imeshakopesha nchi mbalimbali za Africa USD 148 Bilion. Na Inaendelea kukopesha, poleni sana Uganda njia yetu ni Moja waafrica Wote.

Ole Mushi
0712702602

View attachment 2027052
Hiyo yote uliyoandika ni propaganda ya nchi za ulaya dhidi ya china kwakuwa sasa uchina imezikamata nchi maskini zote

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Siasa bila demokrasia ni kuongozwa na magenge ya wahuni
 
Back
Top Bottom