technically Simba ya kikosi Cha kwanza haiwezi kufungwa na Azam au yanga unless mchezaji mmoja au wawili wanaotengeneza mfumo hawapo , wachezaji wanaotengeneza mfumo ni manura , onyango , inonga, zimbwe, shomy, kanoute, mzamiru, chama, phiry. Hawa wakiwepo Simba sio dhaifu .Simba kunaeneo katika first eleven yao Lina udhaifu na ndilo eneo litakalo endelea kuwaumiza, Katika eneo ilo wachezaji walionao hawana uwezo wa kuwalinganisha na wapinzani wao Yanga na Azam.
Vile vile Simba wachezaji wanao Baki baada ya first eleven wengi ni wepesi hawana ujazo.
Wanatumia ngada,wakiwa alosto mambo yanakataaUkiitazama timu ya Simba Kwa macho ya kiuchambuzi ni timu iliyokamilika sana Kila sekta, Wana beki wazuri, viungo plus washambuliaji ila wakija uwanjani wanakosa consistence Leo wachezaji hao hao watashinda 7-0 kesho watapigwa kesho kutwa wata draw.
Maoni ya mchambuzi,
Je! ni kweli Simba nisawa na mwanaume anaetumia viagra anapiga show BAO 5 show inayofuata hata karoti haisimami?
Wachezaji gan hao mkuuSimba kunaeneo katika first eleven yao Lina udhaifu na ndilo eneo litakalo endelea kuwaumiza, Katika eneo ilo wachezaji walionao hawana uwezo wa kuwalinganisha na wapinzani wao Yanga na Azam.
Vile vile Simba wachezaji wanao Baki baada ya first eleven wengi ni wepesi hawana ujazo.
Hao wote wapo mkuu......tatzo ni bechi au??technically Simba ya kikosi Cha kwanza haiwezi kufungwa na Azam au yanga unless mchezaji mmoja au wawili wanaotengeneza mfumo hawapo , wachezaji wanaotengeneza mfumo ni manura , onyango , inonga, zimbwe, shomy, kanoute, mzamiru, chama, phiry. Hawa wakiwepo Simba sio dhaifu .
Sio lazima uwe na bench zuri uchukue Mataji , Madrid, Barcelona , Liverpool wamewahi kuchukua UEFA na ligi ya ndani wakiwa na best first eleven .
Nawasubiri.[emoji38][emoji38]ngoja waje
cocastic hebu njoo kwanza uone mapozi ya rafiki yako Clotus Chama, halafu utoe maoni yako.Tusajili vizuri ili tuwe na consistence nzuri kama wenzetu View attachment 2454198
Hiyo style yake mpya ya ushaingiliaji huenda mabwenyenye washaanza kummendea.cocastic hebu njoo kwanza uone mapozi ya rafiki yako Clotus Chama, halafu utoe maoni yako.
Sito wataja kwakua ilo ndilo eneo letu la point tatu, na tutaendelea kuwafunga mpaka washangae.Wachezaji gan hao mkuu
Mechi dhidi ya Kagera ni nani hakuwepo katika list yako ya watengenezaji mfumo?technically Simba ya kikosi Cha kwanza haiwezi kufungwa na Azam au yanga unless mchezaji mmoja au wawili wanaotengeneza mfumo hawapo , wachezaji wanaotengeneza mfumo ni manura , onyango , inonga, zimbwe, shomy, kanoute, mzamiru, chama, phiry. Hawa wakiwepo Simba sio dhaifu .
Sio lazima uwe na bench zuri uchukue Mataji , Madrid, Barcelona , Liverpool wamewahi kuchukua UEFA na ligi ya ndani wakiwa na best first eleven .