Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Ukiitazama timu ya Simba Kwa macho ya kiuchambuzi ni timu iliyokamilika sana Kila sekta, Wana beki wazuri, viungo plus washambuliaji ila wakija uwanjani wanakosa consistence Leo wachezaji hao hao watashinda 7-0 kesho watapigwa kesho kutwa wata draw.
Maoni ya mchambuzi,
Je! ni kweli Simba nisawa na mwanaume anaetumia viagra anapiga show BAO 5 show inayofuata hata karoti haisimami?
Maoni ya mchambuzi,
Je! ni kweli Simba nisawa na mwanaume anaetumia viagra anapiga show BAO 5 show inayofuata hata karoti haisimami?