Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na sasa wamebuni njia mpya...huyu kakamatwa Colombia Sept 11...mnaokagua muwe makini na wenye mimba...wengine ni fake
![]()
Na sasa wamebuni njia mpya...huyu kakamatwa Colombia Sept 11...mnaokagua muwe makini na wenye mimba...wengine ni fake
![]()
kuwaalika hawa wabeba unga ikulu wakafuturu
eee bhana eee , kwanini hawa wasichana hawataki kupika vitumbua ?
utamu wote huu unaishia gerezani, du! huyu jamaa ndo karithi baada ya mpakanjia kutangulia mbele za haki.
huyu mjanja alijua afya yake ni muhimu..
wenzetu siku zote watatuzidi tuu..hata ktk dili haramu safety ni priority...wabongo hata kubagain njia nyingine zitumike hawawezi..ndio maana wahidnia wanatufaidi sana ktk kutafuta mitaji.Ajira zao hutupa hela watakayo na bado kutulazimisha tushukuru na kufight kubaki kazini.Yaani ameniacha hoi! hicho kinyago unaona huo mstari wa mwanamke mzazi kwenye kitovu ?
Mheshimiwa malenga wetu ........ kusudio langu si kutaka kuwaaminisha kama taarifa hiyo ni ya ukweli au uongo.....kusudi langu kubwa ilikuwa ni kuchukua tahadhari hasa katika habari za matukio ya kujichanganya na zaidi yanayomuhusu mtu binafsi......tatizo kubwa huwa ni chanzo cha habari hizo........je ni cha kuaminika?........nadhani si busara kuleta taarifa za mtu binafsi.....hasa zile zenye madhara kwa muhusika kwa kutumia vyanzo dhaifu kidogo......maana yangu kubwa ni kwamba hapa si mahala sahihi kwa kubishana jambo la msingi kabisa kuwa tukio fulani ni kweli au si la kweli...hayo ndiyo mawazo yangu mkuu.......
Wewe fanya research kwanza mbona amekanusha taarfa hzo
SOMA HAPA
Kwan wadau@Ritz ni ridhiwani kweli na amekua verified humu ama.maana naona watu wanamtupia makombora luve
Nasikitika tunahama kwenye mada lakn vitumbua havichomwi...waweza choma mahindi, mihogo, viazi lakini vitumbua vyaweza 'kaangwa' lakini huwezi kuvichoma...ni sawa na wanaosema 'kuchoma' chips????
ni wewe wema_1 ndo ulikanusha kuwa MKWANDA matumla hajakamatwa na leo umekuja na ya Aisha,watu wanahisi na wewe muuza poda au PUNDA
Tatizo la watanzania ni kule kuigana na kutambiana pasipo sababu, na mara nyingi utakuta asiye na akili timamu na aliyeshindwa maisha anataka kuwa muigizaji au mcheza sinema ili aonekana kwenye TV hatimaye wauza unga wamchukue na kumchezea kisha aandikwe magazetini na kuwa juu ili wanawake wenzake wamuogope. I do not feel sorry for these kind of people. Hapa Bongo si wasanii wa bongo fleva ama bongo movie wanastahili kupoteza muda wangu. Kamata na chinja wote hawa. Lawama zote zimwendee Mh. rais Mtukufu Mungu Kikwete kwa kutufikisha hapa. Nasema hivyo kwani yeye kama rais na mwenye mamlaka ya juu hapa nchini angekemea huuu ujinga wala tusingefika hapa.