n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,015
- 2,680
Hii imetokea usiku wa kuamkia leo maeneo ya Magomeni Kagera.
Polisi walilazimika kutumia risasi (kufyatua hewani) katika kuhakikisha wanawatia mbaroni. Anaitwa Mharami Chonji Mohamed.
Taarifa zaidi zinakuja
Polisi walilazimika kutumia risasi (kufyatua hewani) katika kuhakikisha wanawatia mbaroni. Anaitwa Mharami Chonji Mohamed.
Taarifa zaidi zinakuja
MUUZA MADAWA YAKULEVYA WA MAGOMENI ADAKWA…….
MANGE OCT 24,2014
UWIIIII HAYA CHONJI AMBAE NI MUUZA MADAWA MAARUFU WA MAGOMENIAMEDAKWA LIVE LIVE NA MADAWA YAKE NA POLISI NA SASA YUKO NDANI. YANI HUYU HATOKI TENA…UWIIIII SASA POLISI WAMEFIKA MAGOMENI……..UWIIII WALIOOLEWA NA MA DRUG DEALERS WA MAGOMENI MATUMBO JOTO SAA HIZI… HAHAHAHAHHAHAUWIIII TENA BESTI WA MUMEO NDO KAWEKWA NDANI, UWIIII NAHISI MUNAKUWA HAMLALI USIKU MNASIKILIZIA GETINI KAMA POLISI WAMEFIKA…HAHAHHHAHAHAAUWIIIIIII , JAMANI KUNA SIKU WATU WATAKUJA SEMA KUMBE MANGE ALIKUWA ANASEMA KWELI,,,HAAHAHAHAHAHAYA YETU MACHO……ACHA SIE TUUZE VINGUO TUPATE VIHELA VYETU HALALI, NA WAUME ZETU WAPINDE MIGONGO KWENYE OFISI ZA WATU WAPATE VISENTI VYA KULISHA FAMILIA……WANAOPENDA MTEREMKO NA MAISHA WASIOYAWEZA MPAKA WANAUZA MADAWA YA KULEVYA AU KUOLEWA NA WANAOUZA MADAWA YA KULEVYA KUNA SIKU WATAONA RANGI ZOTEEE………JAMANI MSHAONA MAMBO YAMEHARIBIKA WATAFUTIENI WAUME ZETU KAZI ZINGINE JAMANI HATA KAMA IT MEANS KWAMBA MKAISHIMBAGALA, SI BORA MKAISHI MBAGALA ILA USIKU MNALALA KWA RAHA BILA WASIWASI KULIKO KUTAKA KUISHI KWENYE MAGOROFA HUKU ROHO JUU JUU…..HAYA NGOJENI SASA SIKU MTOKE FROM MAGOROFA TO SEGEREA TO MTAMJUA NZOWA….SIMOOOOOOOOOOOOOOKWA HABARI ZAIDI DUMBUKIA HUMU……
UPDATEEEEEE:::::
![]()
Hahhahaha hii story imewagusa wasomaji wangu huko, maanainside informationa zinamwagika kwenye what'sapp yanguNiliona comment jana usiku mtu kaweka akielezea mkasa huu ulipoanzia na yeye alisema kitu very similar na hiki,ila kumbe its even worse hawakumpiga , walimteka then vijana wakambaka mtoto wa watu. Nilitaka kushangaa kupigwa tu ndowazazi wafatatilie kesi mpaka huko juu kumbe walimbaka bwana… Duh imagine umelea mtoto wa kiume ,lijali hajui ushoga wala ninileo mtu atume watu wambake mwanao kisa madaya ya kulevya,duh ningeua mtu……
![]()
Haya kila mtu anataka kuwa top in town kama Khadija Kopa kwa njia yoyote ile…. hahahahahhahahah