Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Huyu Mohammed Muharami alitajwa pia kwenye zile barua za wale wa TZ waliofungwa china
 
Halafu unaambiwa huyo bwana ni swala tano na anafunga na kwenda kuhiji na kuwafutrisha watu kumbe ...........
 
Dpp mpy hamna kitu na sawa na mvinyo uleule ila chupa ndiyo tofauti
hivi tujiulize mbona kesi za madawa haziishi na kutolewa hukumu, mfano wa k esi hizo ni, ya mareen liyumba, bakari kimambo na wairan ile kesi ya tanga, shkuba, kesi mbalimbali za wanigeria etc
 
hivi tujiulize mbona kesi za madawa haziishi na kutolewa hukumu, mfano wa k esi hizo ni, ya mareen liyumba, bakari kimambo na wairan ile kesi ya tanga, shkuba, kesi mbalimbali za wanigeria etc

kweli kesi zipo kimya tu...mfanu othman aliyekamatws na mtoto wa lyumba bdo wako rumande....shkuba naye jiiiiii, labda wanasubiri jk atoke na wao wawafanyie mipango watoke
 
Tajiri wa Magomeni huyu. Ana ghorofa na ni mtu "anawaweka mjini maaskari kadhaa" kitendo kilichompa kibri na kujigamba 'kaiweka serikali mkononi'

yeah na hapo ndipo alipokosea na atajuta.
 
Chonji ni maarufu sana huyo jamaa anatoa misaada ya kuwasaidia wanaotaka kufanyiwa upasuaji wa MABUSHA
 
Yaani acha tu naana polisi mkuu ni wao, kitengo maalum ni wao sasa sijui ndio maana wana kuwa hivo???!!!!

inategemea kama kakamatwa na ant drugs kesi kidogo itakuwa ngumu....polisi wangeshachkua chao hapo kwa chonji
 
Chonji ni maarufu sana huyo jamaa anatoa misaada ya kuwasaidia wanaotaka kufanyiwa upasuaji wa MABUSHA

naskiaa kakamatwa na mzee mtama mchungu kama naye kadakwa dah balaa maana mzee hyo balaaa zte yumo
 
hawa polisi wanatoka depo ni wepya ,yyani kama ni enzi zetu tunafunga kesi hukohuko,baada ya kujiridhisha kuwa tumekamata mzigo ,kule nchini kwetu china inakuwa hatuwapi chakula kingi just 1week tunawazika au kuwachoma. hapa itakuwa wamekula hela tu.
 
Pigo kwa wazungu wa kinondon

kwann unasema kino watapata pigo, ila mtamaa mzee wngu yule kitambo namjuaa dili zte yy visa, mihuri feki yeye, daah magumashi sanaaa mzee yule..ulikua ukienda kwake kama uko ubalozini mnasubiri kuhojiwa mpate viza
 
HAo askari kama ni tukio la kweli..aidha watahamishwa ama kufukuzwa kazi kabisaa hawafai kazini..kwa sababu wanaingilia kaz za wakubwa zao huko serikalini.
 
ile majina ktk ile barua wote wauza sembe wametajwaaa jamaa walioandika hawajakosea, ilikuwa syo unafki kumcjafuliaa nani jina... Mkoroshokigoli
 
Last edited by a moderator:
HAo askari kama ni tukio la kweli..aidha watahamishwa ama kufukuzwa kazi kabisaa hawafai kazini..kwa sababu wanaingilia kaz za wakubwa zao huko serikalini.

watakuwa wametumwaa hao askari.....
 
kwann unasema kino watapata pigo, ila mtamaa mzee wngu yule kitambo namjuaa dili zte yy visa, mihuri feki yeye, daah magumashi sanaaa mzee yule..ulikua ukienda kwake kama uko ubalozini mnasubiri kuhojiwa mpate viza

kwa sababu wanalink za hizo biashara,magomeni na Kino+sinza mmmh
 
Pimpin' drugs like pharmaceuticals...chini ya usimamizi wa mafioso chama cha majanga..
 
Back
Top Bottom