Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

.. Mkoroshokigoli mimi nilizaliwa na kukulia mtaa ufipa miaka ile zamani hata chadema walikuwa hawapo mtaa wte walikuwa wanauza ngomaaa nyumba zote mtaa ulikuwa balaa yaani...kuna maskani ya aiax wauza unga wapo wengi alafu kuna mateja kama 100, ilibidi kitengo wapige kambi kuua biashara hapo.walikaa for miezi kama 3 kuna bosi mmja wa kitengo abaitwa ndaki alishanikamataga jamaa alidhamiriaa kuua biashara pale, maana aliyekuwepo na yupo wte ndani...kinondoni hakufai kwa unga kabisa

Mkuu unanikumbusha waakina Ali Moja na timu yenu ya Ufipa ya Ajax.
 
Last edited by a moderator:
kweli kesi zipo kimya tu...mfanu othman aliyekamatws na mtoto wa lyumba bdo wako rumande....shkuba naye jiiiiii, labda wanasubiri jk atoke na wao wawafanyie mipango watoke

Kuna wale wapakistan walokamatwa na 26kg Kule mbezi beach walishatoka kwa dhamana na unasemekana wametoroka...ni tatizo sana na hii serikali yetu!!!
 
naskiaa kakamatwa na mzee mtama mchungu kama naye kadakwa dah balaa maana mzee hyo balaaa zte yumo

Mkuu usintanie mtama mchungu tena!!?? Huyu Mzee ni mbishi na ni mkongwe wa hizi kazi huyu Keko Kama sebuleni kwake anaingia na kutoka daily!!!namfahamu Ana kigorofa chake njia ya makanya kabla ya break point!!
 
kwann unasema kino watapata pigo, ila mtamaa mzee wngu yule kitambo namjuaa dili zte yy visa, mihuri feki yeye, daah magumashi sanaaa mzee yule..ulikua ukienda kwake kama uko ubalozini mnasubiri kuhojiwa mpate viza

Kweli unamjua kaka nimewasindikiza sana masela wangu pale kwake!!!anapenda sana mazoezi akiwa nyumbani Mpk gerezani!!
 
manyanya pale wanauza kama wanalipa kodi ila kuanzia juzi defenda zinapitaa znawakamata mateja na wauzaji kna polisi wametoka depo....
alafu muda fulani nlipita mitaa ya chonji naona pametulia kna jamaa yangu mmja yko jirani anasema polisi waliokja hapo walikuwa ba wazungu tka france na polisi wa nzoa kitengo naskiaa waliwapa kichapo maana wengine walikuwa mazoezini gym si chonji ana gym na ana ma master waa kata naskia wacha wapigwe kna bondia mmja wa tz naye alikuwepo tena maarufu tu akatoka nduki aliruka ukuta baada ya kuona kichapo kikali

Hao Polisi watakua ni wapya mkuu kuna Polisi anaitwa makomeo wa oysterbay na team yake mbn wana siku zao za kuja kuchukua chao hapo manyanya!?ila siku mapusha wakikataa kutoa ndo wanaleta defender!!fanya yako tu nchi imeshavunjwa bikra hii imebaki kugawa papuchi tu kwa kila mwanaume a.k.a imekua kahaba au haujasikia miss tz ya solo thang?
 
manyanya pale wanauza kama wanalipa kodi ila kuanzia juzi defenda zinapitaa znawakamata mateja na wauzaji kna polisi wametoka depo....
alafu muda fulani nlipita mitaa ya chonji naona pametulia kna jamaa yangu mmja yko jirani anasema polisi waliokja hapo walikuwa ba wazungu tka france na polisi wa nzoa kitengo naskiaa waliwapa kichapo maana wengine walikuwa mazoezini gym si chonji ana gym na ana ma master waa kata naskia wacha wapigwe kna bondia mmja wa tz naye alikuwepo tena maarufu tu akatoka nduki aliruka ukuta baada ya kuona kichapo kikali

zilirushwa sana risasi,kuna mdau ameniambia huenda kiasi kikubwa kimeokolewa ndo Polisi wamebahatika kukamata kilo 7,sasa kama kulikua na kurushiana risasi kwa muda mrefu basi ni dhahili hawa wauza unga kwa sasa wana vikosi vyao kabisa vya kuwalinda
 
Hao Polisi watakua ni wapya mkuu kuna Polisi anaitwa makomeo wa oysterbay na team yake mbn wana siku zao za kuja kuchukua chao hapo manyanya!?ila siku mapusha wakikataa kutoa ndo wanaleta defender!!fanya yako tu nchi imeshavunjwa bikra hii imebaki kugawa papuchi tu kwa kila mwanaume a.k.a imekua kahaba au haujasikia miss tz ya solo thang?

what i kno wauza unga kuanzia pushaz mapaka mataikun lazima wajulikane huko namaanisha LAZIMA,ZAMANI ILIKUA KWA WAUZA GONGO TU NOW WAMETANUA MFUMO WA UKUSANYAJI MAPATO MPAKA KWA WAUZA UNGA,WATU WANA PAYROL ZAO
 
Mwenye CV yake pliz...



Ni mwanachama wa CCM, amejenga vituo vya polisi kule kule Magomeni, anagawa mbuzi na mchele misikitini, analindwa na madiwani wa kata yake kwa kuwa anatoa misaada ili aendelee kuua watu kiaina. CCM Oyeeee.
 
Good Business yenye return kubwa kuliko! Kama ni Mission ya CIA kuihujumu CHina via Dawa za Kulevya na Tanzania ni njia tu... then hakuna shida! Tatizo ni pale ambapo Vijana wetu wanaishia kunyongwa huko China ... Plantation Za Colombia zote zinamilikiwa na kuendeshwa na CIA ... Mtandao huu si wa kuingia kichwa kichwa hata kidogo... Binafsi nikiajiriwa huko sidhani kama nitakuwa na ubavu wa kususa! lol ... "Tukianza kutajana Wauza Sembe Humu Ndani...Hakuna atakae baki Mjengoni" ilikuwaje kiongozi mkubwa kama yule akatamka maneno yale mjengoni?...
 
Good Business yenye return kubwa kuliko! Kama ni Mission ya CIA kuihujumu CHina via Dawa za Kulevya na Tanzania ni njia tu... then hakuna shida! Tatizo ni pale ambapo Vijana wetu wanaishia kunyongwa huko China ... Plantation Za Colombia zote zinamilikiwa na kuendeshwa na CIA ...

Kumbe!!!!
 
Hivi kina lizbon, msalani, faizafox na wengineo hawalipwi wakichangia mjadala wenye tija kwa nchi, au kyama kyao kyahusika?
 
juzi makomeo na swai walichezea kichapo mitaa ya manyanya na muuza powder mmja...aliyepigwa ana swa.... basi wanaleta defenda kila siku hapo mtaani mapusha wte nduki hawakai.....wale waliyomvamiaaa chonji ni special force walipofka kwake wakagongaa mlango kufunguaa ndy cchonji wakapugaa risasi juu jamaa waliingia ndani naskia waliwagongaaaa sanaa maana mbavu zilizoendaaa achana nazo thomas mashali alikuwa anafanya mazoezi hapo alikimbiaaa nduki....watu wa chonji waliamkaaa wakikuta muhimbili hoi....walikuja na wafaransa pia yaani ninomaaa ... Mkoroshokigoli
 
Last edited by a moderator:
Asikudanganyeni mtu ukikamatwa na kuanzia kilo moja ukafikishwa mahakamani umekwenda na maji.
Labda mnisaidie kwenye hii miaka ya nzowa nani mnayemjua alikamatwa na zaidi ya kilo moja akafikishwa mahakamani halafu akatoka
 
Hao Polisi watakua ni wapya mkuu kuna Polisi anaitwa makomeo wa oysterbay na team yake mbn wana siku zao za kuja kuchukua chao hapo manyanya!?ila siku mapusha wakikataa kutoa ndo wanaleta defender!!fanya yako tu nchi imeshavunjwa bikra hii imebaki kugawa papuchi tu kwa kila mwanaume a.k.a imekua kahaba au haujasikia miss tz ya solo thang?

ile ni order maalum polisi wale si wa obay wa magomeni, makomeo alivyokuwa na njaaaa dah hana uwezo kwenda kwa chonji.....makomeo yeye na mateja na vipusha tu ana wadaka
 
Asikudanganyeni mtu ukikamatwa na kuanzia kilo moja ukafikishwa mahakamani umekwenda na maji.
Labda mnisaidie kwenye hii miaka ya nzowa nani mnayemjua alikamatwa na zaidi ya kilo moja akafikishwa mahakamani halafu akatoka

sheria ndyo inasema hvyo sawa ila hao jamaa wna mtandao mkubwa....nzowa anachofanya file zao yeye anazikomaliaa yeye....anakaa nazo yeye.na hao wte walikuwa kwny wanted list yake.nzowa ana back up kutoka nje kumsaidia.ila kwa tukio hili la chonji ngja tuone..ila ktk dirty biznea kuna mwanzo na mwisho wke
 
Back
Top Bottom