Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Mie nawasuport them kuuza unga,bongo hamna opportunities kama huna shule kaa mtaani jobless na ndugu wanakutegemea uone joto labda wangeazisha projects/skills cheap kuaquire na sio tu kubase na academical only kwamba ukjshindwa form four ama six ndio baasi kuwe na altrnative, courses cheap mtu anaweza kusoma(vocational) akapata cheti na kupata kazi if we have a working nation we will have a better economy
 
Mie nawasuport them kuuza unga,bongo hamna opportunities kama huna shule kaa mtaani jobless na ndugu wanakutegemea uone joto labda wangeazisha projects/skills cheap kuaquire na sio tu kubase na academical only kwamba ukjshindwa form four ama six ndio baasi kuwe na altrnative, courses cheap mtu anaweza kusoma(vocational) akapata cheti na kupata kazi if we have a working nation we will have a better economy
maisha nikujituma ndugu yangu wangapi wameishia form4 au la Saba wanamaisha bora kuliko waloenda chuo... Kinachowaangaisha ni tamaa tu hamna kingine ....
 
Tamaa mbaya...kutaka maisha ya juu bila kazi ya maana hapa mjini...wenyewe wanajiita wadada wa mujini...
eeeeheee kazi kweli kweli analala na kuamka bila wasiwasi du kweli udada wa mjini kazi tamaa ya kuvaa mabling bling yanamwisho wake
 
maisha nikujituma ndugu yangu wangapi wameishia form4 au la Saba wanamaisha bora kuliko waloenda chuo... Kinachowaangaisha ni tamaa tu hamna kingine ....

Mkuu basi tuseme bahati,hadi wachumba wananikimbia nikiwaambia nimeishia form four lols ulimwengu huu wanaona nitakua mzigo kwao lols😈
 
Mie nawasuport them kuuza unga,bongo hamna opportunities kama huna shule kaa mtaani jobless na ndugu wanakutegemea uone joto labda wangeazisha projects/skills cheap kuaquire na sio tu kubase na academical only kwamba ukjshindwa form four ama six ndio baasi kuwe na altrnative, courses cheap mtu anaweza kusoma(vocational) akapata cheti na kupata kazi if we have a working nation we will have a better economy

Bongo opportunitie zipo nyingi tu ukijituma na kufanya kazi kwa bidii unatoka vzuri tena sana majority ya vijana wanapenda short cut sana ndo mana wanaona sembe ndo opportunity kuna form four wana maisha mazuri sana tu sema majority ya Youth Tanzania hawana udhubutu na zipo opportunity nyingi usipo komaa utaona life gumu tu
 
Mie nawasuport them kuuza unga,bongo hamna opportunities kama huna shule kaa mtaani jobless na ndugu wanakutegemea uone joto labda wangeazisha projects/skills cheap kuaquire na sio tu kubase na academical only kwamba ukjshindwa form four ama six ndio baasi kuwe na altrnative, courses cheap mtu anaweza kusoma(vocational) akapata cheti na kupata kazi if we have a working nation we will have a better economy

Opportunity ziko nyingi tu mbona sema wengi wanapenda short cut kuna ambao hawana shule wame work hard mpaka wana life zuri kuliko kuhatarisha maisha kwa kukamatwa na kuishi na wasi wasi its better to do legal activities ukiwa na nia unatoka tu
 
Roughly ni wangapi wanaanza ground zero wakafaulu,just estimates...

Basi tujifunze kuridhika shosti....tuizoeshe mioyo yetu kukinai...

Sasa mtu ana kupato kidogo halafu anataka makubwa...unadhani mwisho wake nini?

Wa moja havai mbili...akivaa itapwaya....ndo hivyo sasa Mama la mama anapumulia mashine..
 
Hivi ukiuza kete ndio ushakuwa celebrity???
 
Basi tujifunze kuridhika shosti....tuizoeshe mioyo yetu kukinai...

Sasa mtu ana kupato kidogo halafu anataka makubwa...unadhani mwisho wake nini?

Wa moja havai mbili...akivaa itapwaya....ndo hivyo sasa Mama la mama anapumulia mashine..

Nipe umbea mie nani huo aliekamatwa na mkewe ni nanii niwaandike hapa nipate la kuongea
 
Nipe umbea mie nani huo aliekamatwa na mkewe ni nanii niwaandike hapa nipate la kuongea

Wamekamatwa Madon wa sembe wa Magomeni akiwemo Chonja (muuzaji maarufu)
Chonja ni rafiki wa karibu wa Mume wa Shamim Mwasha..blogger wa 8020 blog...Duru za kiumbea zinaripoti kuwa Mume wa Shamim..(Abdul Nsembo) naye anasakwa na vijana wa Nzowa coz anashiriki katika madeal ya Sembe...
 
Wamekamatwa Madon wa sembe wa Magomeni akiwemo Chonja (muuzaji maarufu)
Chonja ni rafiki wa karibu wa Mume wa Shamim Mwasha..blogger wa 8020 blog...Duru za kiumbea zinaripoti kuwa Mume wa Shamim..(Abdul Nsembo) naye anasakwa na vijana wa Nzowa coz anashiriki katika madeal ya Sembe...

Kiruuuuuuuuuuuuuuu ndio maana Mange kaishabikia hii habariii hhhhhhhaaaa
Ila mwanangu na sie tuanze kuuza sembe tuwatese watu kama mzirai na mkewe na walivyowatesa watu sasa hiv kimyaaaa
 
Hiyo stori nayo toka j3 kuna best yangu ndio lawyer wake ila abdul ameponea chupuchupu kukamatwa mana naskia alitoka tu ndio police wakavamia wamekuta unga 7kg pia wamewapa kipogo balaa hao jamaa

Ilikua ni hatari nakuambia...yaani polisi walivyovamia hata angekua fit vipi asingeweza kutoroka...alijitahidi nae kurusha risasi lakini wapi...huyo mwenzie ana machale sana sijui kajifukia wapi
 
Back
Top Bottom