Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,709
Kiruuuuuuuuuuuuuuu ndio maana Mange kaishabikia hii habariii hhhhhhhaaaa
Ila mwanangu na sie tuanze kuuza sembe tuwatese watu kama mzirai na mkewe na walivyowatesa watu sasa hiv kimyaaaa
Yeah ndo mana Mange anatamani kufanya party...
Shosti labda tuuze Sembe la kusongea ugali...ila lile lingine hapanaaa....kisa cha kuishi roho juu nini?