Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Jina lake halisi ni Rashid Jabu kijana alkyepata elimu yake kisiwani Unguja, lakini anajiita Rumishael Mamkuu Shoo. Alianza kwa kuuza simu za used, na sasa kawa milionea kwa pesa ya sembe. Yeye na Nasoro Mangunga 'Short' ndio mzigo wao ulikamatwa Afrika Kusini walioubeba akina Masogange.
Kwa muda mrefu sasa Rumi amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mellisa ambaye alikamatwa pamoja na Masogange, huku Mangunga akiwa na uhusiano wa kimapenzi na Masogange. Hawa ni miongoni mwa vijana wenye bidii sana ya kuchezea pesa kwa watoto wa Bongo Flava.
Hawa ndio wanaohusika hasa na kuharibika kwa Chid Benz na marehemu Ngwair.
Ova

View attachment 196893

sawa mdakuzi naona umetiririka vya kutosha khsu hyo jamaaa...maana tnamskia kuwa ana sumbua sana mjini hapa
 
Binadamu hunishindi Mimi yani nilikua namuonaga Dada decent shoga kuna Siku nilikutana nae sehemu mh kwelii tangu awe high class amekua Ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh Dnt judge a book by its cover hata Kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjini

Mashost niwaambie mtu akishakuwa matawi hata kama mlisoma naye atajidai hakujui mimi mwenzio huwa nikimuona bidada napitaga kando japo nilisoma naye Mkwawa miaka hiyo.
 
Na urembo hakukuvutia?? Yale macho ya kikombe mantashallahh

Kama vile ulikuwa kichwani mwangu maana kidogo nimwulize hivyo hivyo. Ila ukiachilia urembo, yupo poa kichwani.

Aliye karibu nae amwambie acheki tovuti ya kampuni yake b'se web safe is blocking the site as is listed as having malicious content.
 
Niliposikia stori ya huyu jamaa amekamatwa niliamini labda nzowa amanza kukaza.... kumbe mpaka ilipotokea kijana wa watu watu amebakwa na wazazi wake wakakomaa na inaonekana kuna mkubwa wanamjua ndio maana watu wakaingia kazini kukamata group hiyo,, hiiii inakumbusha ile ya paapaaaaaa M, kwa iyo bongo bila ya incident mbaya inayowagusa wakubwa na jamaa zao business as usual..
 
Asikudanganyeni mtu ukikamatwa na kuanzia kilo moja ukafikishwa mahakamani umekwenda na maji.
Labda mnisaidie kwenye hii miaka ya nzowa nani mnayemjua alikamatwa na zaidi ya kilo moja akafikishwa mahakamani halafu akatoka
Watu walikamatwa na robo tani na wamesharudi pakistan.hii ndiyo bongo kaka mtu mmoja vyeti viwili vya kuzaliwa na bado anadunda
 
.. donniebrasco ni kweli alfu nzowa hao aliwakamia muda mrefu alikuwa anawasubiria waingie kwenye 18 yake wakione cha moto....huyo muuzaji alijiamini sana mpka anaka na kg 7 ndani...anafanya biashara hiyo kama analipa kodi
 
Last edited by a moderator:
hivi tangu uanze kusikia watanzania wamekamatwa na madawa ya kulevya iwe nje ya nchi au ndani ya nchi ulishawahi kusikia mmoja wao amehukumiwa?
 
hivi tangu uanze kusikia watanzania wamekamatwa na madawa ya kulevya iwe nje ya nchi au ndani ya nchi ulishawahi kusikia mmoja wao amehukumiwa?

nje wengi tu wamehukumiwa ila ndani ya nchi ndiyo kunakuwaga na utata...wengi wamekamatwa lkn bado wako rumande tu
 
manyanya pale wanauza kama wanalipa kodi ila kuanzia juzi defenda zinapitaa znawakamata mateja na wauzaji kna polisi wametoka depo....
alafu muda fulani nlipita mitaa ya chonji naona pametulia kna jamaa yangu mmja yko jirani anasema polisi waliokja hapo walikuwa ba wazungu tka france na polisi wa nzoa kitengo naskiaa waliwapa kichapo maana wengine walikuwa mazoezini gym si chonji ana gym na ana ma master waa kata naskia wacha wapigwe kna bondia mmja wa tz naye alikuwepo tena maarufu tu akatoka nduki aliruka ukuta baada ya kuona kichapo kikali
Hahahaha .......Atakua Mashali tu
 
Mimi ndio maana nasema bila ya fbi/cia kuja kuharibu huu mtandao , siamini kama kuna jipya
 
Kanijibu vizuri tu,inaelekea we muuza bwimbwi roho inakupwita.

Uliza vizuri utajibiwa watu tunaoendesha vita dhidi ya madawa ya kulevya tunaeleweka wazi hapa JF na misimamo yetu.

Bila kumsahau Mkuu EMT ni kinara wa vita dhidi ya hawa wahuni wanaotajirika huku watoto wetu wakizidi kuharibika na kuwa mazezeta.
 
Last edited by a moderator:
Halafu hiyo sembe wanamuuzia nani hasa?

Maana mateja wengi wamefulia tu. Sasa hizo hela wanazotengeneza kwenye hiyo biashara zinatoka kwa nani?

Mkuu hawa mateja wa bongo wanauziwa vumbi tu, soko halisi ni kwa mzee Zuma na China.

Bongo ni warehouse tu ya kuhifadhi mzigo ukitoka shamba na unaingizwa kwa njia ya bahari shehena kubwa kubwa za makilo.
 
Una maana atapiga sindano hata wanafamilia wake? Stori za kwenye vijiwe vya kahawa hizi....

Mkuu hata mimi nashangaa maana Miraji mwenyewe maeneo yake ya kuuzia ni Kinondoni na kaka yake ni master dealer.
 
Huyu dogo alitakiwa kupigwa risisa, wamewafanya ndugu zetu wamekuwa wehu.
 
Back
Top Bottom