Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Madawa ya Kulevya: Mfanyabiashara Mharami Mohamed na wenzake 4 wakamatwa na kilo 7 za Heroin

Kwa taarifa yenu wana jf !! Mkuu wa kaya yupo china rais wa china kampa pesa kibao sana kwa ajili ya miradi mbalimbali miongoni mwa masharti aliyompa ni kuangamiza kabisa wauza unga sasa mjiandee watakamatwa sana kipindi hiki mpaka jk anatoka madarakani, na wanapigwa sindano za sumu order kutoka china subirini au la mjisalimishe wenyewe !!!
au waache kazi hiyo waende kibugumo Gezaulole wakajilimie mihogo tabu ni jinsi walivyozoea maisha soft~soft na jembe la mkononi lilivyo!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe wakati mimi napigika mjini hapa na hawa madon wakipita na magar yao makali makali na mijengo wakiporomosha hapa mjn kumbe jeur yote sembe? KeiMAANENA zao.
Wakiingia viwanja vya kula bata wanavurugu kweli.

Sasa ngoja vijana wa kamanda nzowa awatie adabu watakimbiana mjini hapa.
 
Jf inaonekana kuna wauza unga wengi pia,usiniulize kivipi.

Kivipi? Mbona rahisi. Ukitaka kujua angalia namba ya viewers wa threads za madawa ya kulevya.

Kwa mfano, huu uzi ulianzishwa jana jioni lakini tayari umeshasomwa na watu zaidi ya 8,000!

Huu umeshasomwa na watu zaidi ya 10,000: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mbo-adaiwa-kuwatishia-wafungwa-hong-kong.html

Njia nyingine kama Mods wangefanya kuwa ukitaka kusoma threads za madawa ya kulevya lazima uwe member, kungekuwa na members wapya wengi.
 
Ahsante umesaidia kujibu swali la mdau hapo juu,
Kivipi? Mbona rahisi. Ukitaka kujua angalia namba ya viewers wa threads za madawa ya kulevya.

Kwa mfano, huu uzi ulianzishwa jana jioni lakini tayari umeshasomwa na watu zaidi ya 8,000!

Huu umeshasomwa na watu zaidi ya 10,000: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...mbo-adaiwa-kuwatishia-wafungwa-hong-kong.html

Njia nyingine kama Mods wangefanya kuwa ukitaka kusoma threads za madawa ya kulevya lazima uwe member, kungekuwa na members wapya wengi.
 
Kivipi? Mbona rahisi. Ukitaka kujua angalia namba ya viewers wa threads za madawa ya kulevya.

Kwa mfano, huu uzi ulianzishwa jana jioni lakini tayari umeshasomwa na watu zaidi ya 8,000!

Umesomwa na watu zaidi ya 8,000 au umetizamwa zaidi ya mara 8,000?

Kuna tofauti hapo ujue.....
 
Kumbe wakati mimi napigika mjini hapa na hawa madon wakipita na magar yao makali makali na mijengo wakiporomosha hapa mjn kumbe jeur yote sembe? KeiMAANENA zao. Wakiingia viwanja vya kula bata wanavurugu kweli.

Don't look at what others are doing, spending, driving or building but at yourself.
 
Umesomwa na watu zaidi ya 8,000 au umetizamwa zaidi ya mara 8,000?

Kuna tofauti hapo ujue.....

Well, kama kuna tofauti, let's say namba ya wanaotazama hizo threads siyo sawa na namba ya wanaozisoma, bado mara nyingi namba ya watu wanaosoma threads za madawa ya kulevya ni kubwa.
 
Abdu tycoon akiwekwa ndani bongo movie wanakufa njaa lulu, kajala, Steve, watakuwa na matumbo ya kuharisha saa ivi

Una maana ka-Steve nako wanakababua back? Maana hao wengine ni "ke"!! Kazi ipo!
 
Kilichokupa hasira hapo ni kipi,kusema lazima uwatetee kwa vile ni miongoni mwa hao 8000,au kwa vile nimekosea kuunda sentensi kwa lugha ya kizungu?
It is 'you are' and not 'your' although you don't know what the hell you are talking about.
 
Washenzi hawa wauza unga wanyongwe tu tumewachoka , naona tuombe fbi waje kusaidia kuwaangamiza maana naona hapa bongo kama tunachekeana tu
 
..... naona tuombe fbi waje kusaidia kuwaangamiza maana naona hapa bongo kama tunachekeana tu

Wewe lazima utakuwa bonge la ombaomba.

Halafu unawezakuta wewe ndo kwa kwanza kumnaga Rais wako kwa kutembeza bakuli huko kwa wenye FBI.
 
Embu tuwekee picha ya huyo rummy maana tunamsikia tu ila wengine hatumnyaki

Jina lake halisi ni Rashid Jabu kijana alkyepata elimu yake kisiwani Unguja, lakini anajiita Rumishael Mamkuu Shoo. Alianza kwa kuuza simu za used, na sasa kawa milionea kwa pesa ya sembe. Yeye na Nasoro Mangunga 'Short' ndio mzigo wao ulikamatwa Afrika Kusini walioubeba akina Masogange.

attachment.php


Kwa muda mrefu sasa Rumi amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Mellisa ambaye alikamatwa pamoja na Masogange, huku Mangunga akiwa na uhusiano wa kimapenzi na Masogange. Hawa ni miongoni mwa vijana wenye bidii sana ya kuchezea pesa kwa watoto wa Bongo Flava.

Hawa ndio wanaohusika hasa na kuharibika kwa Chid Benz na marehemu Ngwair.

Ova

rumi.jpg
 
Back
Top Bottom