Ndio unga unampa kiburiiii
mzima mamii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unga unampa kiburiiii
Ndio unga unampa kiburiiii
nipo poa kabisa biyee sana wengi wa bongo wanapenda kuiga maisha ya kina kardashian maisha ya kitamthilia hawajui kuwa wao wanalipwa na show off character kwenye mitandaoni una kuta mdada anajifanya duu kazi haijulikani wala sources ya income kumbe ni sembe
mzima mamii?
Chonchi alikuwa na mbwembwe sana japo alikuwa anajua kuwasaidia watu sanaaa ndo mana ukienda daybreak ni kama kuna msiba lakini ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka,issue ni kuwa alimfanyizia mtoto wa mkubwa mmoja wa jeshi aliyestaafu (nowadays ni balozi huko Asia) sasa mkubwa kaona isiwe tabu kaenda kuchonga na JK personally what follows u know it(ref Babu seya na wanawe) nasikia chonchi alijitutumua akamwambia kamanda nzowa atampa mil 200 amuache asepe nzowa akasema atampa mil 600 wasonge mbele za haki................hii nchi we acha tu
ilikua ni hatari nakuambia...yaani polisi walivyovamia hata angekua fit vipi asingeweza kutoroka...alijitahidi nae kurusha risasi lakini wapi...huyo mwenzie ana machale sana sijui kajifukia wapi
mrs sembe yupo ndani ya gorofa mbezi beach,atamkumbuka baba iqra,ndo faida ya kutaka pochi za loius vuitto,michael kors,na kutaka kupush range,huku wengine wanalia watoto wao wanaharibika kwa unga,wakamatwe tu hawa
Chonchi alikuwa na mbwembwe sana japo alikuwa anajua kuwasaidia watu sanaaa ndo mana ukienda daybreak ni kama kuna msiba lakini ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka,issue ni kuwa alimfanyizia mtoto wa mkubwa mmoja wa jeshi aliyestaafu (nowadays ni balozi huko Asia) sasa mkubwa kaona isiwe tabu kaenda kuchonga na JK personally what follows u know it(ref Babu seya na wanawe) nasikia chonchi alijitutumua akamwambia kamanda nzowa atampa mil 200 amuache asepe nzowa akasema atampa mil 600 wasonge mbele za haki................hii nchi we acha tu
yaani nilivyokua namheshimu shamim kumbe hana lolote na yeye
Mrs Sembe yupo ndani ya gorofa mbezi beach,atamkumbuka baba Iqra,ndo faida ya kutaka pochi za LOIUS VUITTO,MICHAEL KORS,na kutaka kupush range,huku wengine wanalia watoto wao wanaharibika kwa unga,wakamatwe tu hawa
chonchi alikuwa na mbwembwe sana japo alikuwa anajua kuwasaidia watu sanaaa ndo mana ukienda daybreak ni kama kuna msiba lakini ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka,issue ni kuwa alimfanyizia mtoto wa mkubwa mmoja wa jeshi aliyestaafu (nowadays ni balozi huko asia) sasa mkubwa kaona isiwe tabu kaenda kuchonga na jk personally what follows u know it(ref babu seya na wanawe) nasikia chonchi alijitutumua akamwambia kamanda nzowa atampa mil 200 amuache asepe nzowa akasema atampa mil 600 wasonge mbele za haki................hii nchi we acha tu
Ulikuwa unamheshimu kwa lipi hasa?
huyo mtoto w balozi shi.....mbo nae drug dealer istoshe nzowa hakatai hela ila kma kuna mkono mzito lazma awe mpole,pia unga above 10m hauna dhamana
yaani nilivyokua namheshimu shamim kumbe hana lolote na yeye
Chidibenzi atakuwa na arasto kali huko lupango.
ulikuwa unamheshimu kwa lipi hasa?
Ulikuwa unamheshimu kwa lipi hasa?
binadamu hunishindi mimi yani nilikua namuonaga dada decent shoga luna sikh nilikutana nae sehemu mph kwelii tangu awe high class amekua ana dharau alinipotozea coz mie sikua nafit in wanataka matawi wenzao mh dnt judge a book by its cover hata kama is hu itazimwa tushajua bembwe za eve collections zote za sembe mjini
the way anavyojifanya mjasiriamali
kuandaa semina za wanawake na events tofauti
kiasi ambacho mi km mwanamke natamani yaani nifanyr vile
kumbe ndo walewale aisee
kweli usione ukadhani