Pre GE2025 Madee aipeleka picha ya Rais Samia London kwenye mchezo wa Arsenal na Ipswich

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.

Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.

Your browser is not able to display this video.
 
Madee nilikuwa namuona mjanja mtoto wa town, kiukweli ameniangusha sana!. Kubwa zaidi ni hiyo picha ya profile aliyoiweka hapo isnta! kwa kweli ni halali the late ka'wiz kumchana "we kama haikulipi ni mpuuzi". Mwana hip hop huwezi kuwa na pozi kama hilo.
 
Madee bwana,
Aanakuja na ndinga anapaki na kuagiza ubwabwa wa mama lishe analetewa analia ndani ya ndinga.

Ukiwa 🌟 unakuwa na maisha magumu sana kama mambo hayaendi.
 
Baada aende na welcome Tanzania yeye anatangaza ushoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…