Pre GE2025 Madee aipeleka picha ya Rais Samia London kwenye mchezo wa Arsenal na Ipswich

Pre GE2025 Madee aipeleka picha ya Rais Samia London kwenye mchezo wa Arsenal na Ipswich

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
White house is red😀😹😹
 
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Hv Hawa kenge wanajua kuwa samia, atapita, na hii misifa wanayompa haitakuwepo, kitakachobaki ni umaskini na ufukara tu
 
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Sasa wewe ulitaka aipeleke picha ya Lissu au?😁
 
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Njaa kali na imehamia kichwani
 
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Hii hii Arsenal yangu inayoanza kasi na kumaliza pumzi ikiwa imekata je haiwezi kumtilia nuksi mnene wa nji ya Tz ?
 
Wakuu

Uchawa unavuka boda sasa

==

Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'

Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Safi sana Madee
 
Wacha wehh naona biznes trip huko kaenda

Ova
 
Hii nchi mpaka siku tuje kujitambua tuna safari ndefu sana ase.
 
Bora huyu kuliko Mwijaku anapiga makelele Paris watu hawamwelewi mpaka aibu, afadhali vile alivyo mweusi watu walifikiri ni wa South Sudan
 
Hilo goli la mama anapewa yeye au hela inatumwa clabuni Uingereza?! Machawa wezi sana kmmk
 
Back
Top Bottom