Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
White house is red😀😹😹Wakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Hv Hawa kenge wanajua kuwa samia, atapita, na hii misifa wanayompa haitakuwepo, kitakachobaki ni umaskini na ufukara tuWakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Sasa wewe ulitaka aipeleke picha ya Lissu au?😁Wakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Sio kama nadhani umemshinda tayariKujipendekeza+njaa.
Mziki wenyewe ni kama ushamshinda huyu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alisubiri mechi iishe ndio akasogea jukwaa la mbele. Atakua alikua mzunguko uyo wa elfu 5.
Njaa kali na imehamia kichwaniWakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Hii hii Arsenal yangu inayoanza kasi na kumaliza pumzi ikiwa imekata je haiwezi kumtilia nuksi mnene wa nji ya Tz ?Wakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Safi sana MadeeWakuu
Uchawa unavuka boda sasa
==
Msanii wa Hip Hop, Madee, kupitia Instagram, amemtambulisha Rais Samia Suluhu Hassan kwa mashabiki wa Arsenal kwenye mechi ya jana, Desemba 27 dhidi ya Ipswich, akisema kuwa anaunga mkono juhudi za Rais katika sekta ya michezo.
View attachment 3186877
Pia, Soma: Rais Samia alivyopiga simu usiku kwenye pambano la 'KO ya Mama'
Aliahidi kuwa kuanzia mechi ijayo, itakuwa na goli la "Mama Arsenal" na kwamba 2025 itakuwa mwaka wa ushindi kwa Rais Samia na Arsenal.
View attachment 3186879
View attachment 3186878
Nimecheka sana mkuu 😂Alisubiri mechi iishe ndio akasogea jukwaa la mbele. Atakua alikua mzunguko uyo wa elfu 5.