Kwa mtizamo wangu , kama huyu jamaa akiamka vizuri kabisa siku ya fiesta hao ma international wataisoma namba!!! Akishusha hv vitu viwili tu kazi kwisha
NANI KAMWAGA POMBE YANGU !!
Amalizie na TEMA MATE TUMCHAPE itakuwa balaa ? Kwani wabongo huwa tunaimbishwa na tunaimba zaidi nyimbo za kwetu hasa zinazohit , ..asibaniwe basi!!
NANI KAMWAGA POMBE YANGU !!
Amalizie na TEMA MATE TUMCHAPE itakuwa balaa ? Kwani wabongo huwa tunaimbishwa na tunaimba zaidi nyimbo za kwetu hasa zinazohit , ..asibaniwe basi!!