kaimba bange...🙁Madee mwanamuziki wa midundo ya bongo flavor amekufuru kwenye wimbo wake anaosema amepata mateso makali kuliko ya Yesu.
Wakristo wanaamini kuwa hamna mtu amewahi kuteswa kama yesu. Madee akiwa ni muislamu, hakupaswa kulinganisha taabu zake na mateso ya yesu.
Madee amekufuru.
Madee mwanamuziki wa midundo ya bongo flavor amekufuru kwenye wimbo wake anaosema amepata mateso makali kuliko ya Yesu.
Wakristo wanaamini kuwa hamna mtu amewahi kuteswa kama yesu. Madee akiwa ni muislamu, hakupaswa kulinganisha taabu zake na mateso ya yesu.
Madee amekufuru.
Historia imetufundisha kuwa wanamuziki huimba wimbo halafu baadaye yanakuja kutokea waliyoimba. Huenda Madee anajitabiria jambo..............halafu tatizo la huyu Bwana mkubwa anayeitwa Yesu huwa anajibu fasta...si unakumbuka 2pac baba ake madee kisanaa????? Badala ya misumari msalabani ilikuwa bulleeeeetssss ........
Tuombe huo wimbo ufungiwe kwa kuwa unashusha hadhi ya mateso ya Yesu. Watoto wetu tunawafundisha kuhusu mateso makali aliyoyapata mkombozi wa ulimwengu sasa wakisikia huyo chizi kapata zaidi ya hayo, basi hawatamwamini huyu mwana wa Mungu.
Huyu kijana nina mashaka sana na elimu yake, exposure yake, watu wanaomzuka, mazingira aliyokulia na historia yake.
Lazima tukiyazingatia hayo tutagundua kuwa huyu ni nyani ng'ombe ndani ya mwili wa mwanadamu.
Hana nidhamu, kama hawezi kuheshimu wengine basi hawezi kujiheshimu hata yeye mwenyewe.
Huyu ni mwehu punguani.
Taarifa nilizozipata hivi punde Msanii huyu amefiwa na Girlfriend wake wa siku nyingi aitwae Pendo katika ajali ya Basi la Shabiby iliyotokea jana...