Madee amekufuru!

Madee amekufuru!

Upeo mdogo na elimu ndogo vinachangia watu kuanzisha mada ya mambo ambayo yanaweza kabisa kuletea shida kuliko faraja unayoitafuta. Tusipende kucheza na jina wala nguvu za mungu bila kujua matokeo yake
 
sawa inawezekana hivi wanajamii hakuna watu wanaoteseka mateso zaidi ya huyo yesu acheni utani bwana musilete udini kama vipi tembeleeni maohospitals


Chora katuni ya Mufu Mohamadi uone kama hujapigwa mawe mpaka ufe.....
 
Mateso ya Yesu unayajua wewe au unaongea tu!?? Acha hizo mkuu. Ni mateso ya aina yake, hayana ulinganifu ndugu: kukataliwa na watu wake, kudhalilishwa, kusingiziwa mengi, kutukanwa, kupigwa mijeledi, kuvikwa taji la miiba, kupigiliwa misumari msalabani, nk. Haya mateso nani anajilinganisha nayo? Yaani ni ya pekee tu. Ni yake Yesu tu. Kama kuna mtu mwingine kawahi kupata mateso hayo ni yake, si ya kulinganisha na ya Yesu. Yesu ni Yesu na mateso yake; mwanadamu ni mwanadamu na mateso yake.


Mkuu unapigia mbuzi gitaaaaa....Ajaribu neno moja tu kumsema mfu wao muhamedi aone cha moto...
 
OK,OK, some of us are of the opinion that "Wanamuziki" wetu wengine wanabwabwaja, na hawako sensitive enough kujua what's virtuous and what's vile.As logical as that argument sound, who are we to tell them what's virtuous and what's vile?

Mimi kama mtetezi wa freedom of speech and expression nitawauliza.

1. Haiwezekani kwa binadamu kuteseka zaidi ya Yesu?
2.Kama inawezekana inakuwaje kosa kwa mtu kusema tu kwamba kateseka zaidi ya Yesu.

After all katika sanaa kuna kitu kinaaitwa poetic license, ndiyo maana unamsikia mtu kma Nas alisema



Nas- The Cross

Now we all know (I take that back, I won't be surpised if some of us don't) the Catholic church's stand on abortion, so Nas not only said that he carries the cross like Jesus, but he "blasphemed" the Virgin Mary by suggesting that if Mary had an abortion he would still triumph, presumably in the place of Jesus.

I hardly heard anybody raising an eyebrow, why? This is Nas, this is Hip Hop, he is supposed to be unorthodox and controversial, if you want hymns listen to your local choir.

Hapa Jigga anamtupia madongo Jehovah



Jay-Z D'Evils

Mifano lukuki.

Hivi msanii wa kibongo akiamua kuandika wimbo kama "Suicidal Thoughts" wa Notorious B.I.G mtaweza kuelewa kwamba ni sehemu ya sanaa au mtawahi kuazini na kupiga fatwa pamoja na kukemea?

Jamani, huyu ni msanii wa bongoflava, si PM wala MP.Huyu yupo kazini na yeye ana constituent yake ambayo inatoa a subtle statement hapo, kwamba fvck religion, fvck Jesus. In some way he is supposed to push the envelope of our societal limits by being bordeline ignorant. Sasa tukianza ku scrutinize kila line ya bongoflava ili iwe sawa na Anselm, Augustine, the apostles and all the prophets badala ya hawa wasanii wa bongoflava kuwa ignorant, sisi tunaowa scrutinize ndio tunakuwa ignorant.


Ilipochorwa katuni ya Mfu wenu si mlikuja juu nyie?
 
Taarifa nilizozipata hivi punde Msanii huyu amefiwa na Girlfriend wake wa siku nyingi aitwae Pendo katika ajali ya Basi la Shabiby iliyotokea jana...

sasa tumpe pole au? just beginning majibu ya yesu ni faster than expected
 
ah!, nimesoma kichwa kwa bila umakini nikadhani ni MDEE!, SAMAHANI, sirudi
 
I donts support watu madee said, ila Mbona na sisi kati ka iman zetu tunamkufuru Mungu. Kuna kiongozi mmoja anaitwa 'Baba Mtakatifu' yaani Holy Father. Hiyo sio kufuru?
 
sasa tumpe pole au? just beginning majibu ya yesu ni faster than expected

Pole pole Namhala!! Tumpe pole tu na Mungu ampe pumziko la milele huyo aliyetangulia mbele ya haki. Ila umewakomalia na huyo mfu wao!!
 
Tusisahau kuwa Yesu Kristo hakubakia kaburini maana alifufuka siku ya tatu kama alivyosema (tofauti na mitume wote mnaowajua) Yeye ni bwana wa Uzima na Siku moja kila Goti (la madee na nyinyi wote yakiwemo) yatapigwa kwake na kila Ulimi (ukiwemo wa madee na nyinyi wote utakiri) kuwa Yesu Kristo ni bwana kwa utukufu wa mungu baba, Tehe tehe tehe tehe! tehe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Yes Jesus Christ and his servants will have the last laughter !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Tehe tehe tehe tehe! tehe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Tehe tehe tehe tehe! tehe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
Nabii Issa ''masii" wa waislamu ni tofauti na Yesu Kristo wa wakristo. Kwa hiyo epuka kuandika maneno ya kusikika, katafute msaafu wa waislamu na biblia ya wakristo soma watu hawa wawili. Aliyepo wa waislamu ni upotofu kwa yule anaye elezewa wa wakristo.
Ok kumbe rahisi hivyo bac madee alimuimba yule wa waislam,fikra potofu huwa na majibu potofu
 
vipo visanii visivyovikiri sawasawa na vinadhani mziki ni kuimba upuuzi,kipo kiisanii kingine eti kinamfananisha demu wake na bikira Maria ,,yaani uvundo mtupu baadhi ya wasaniii
 
hii ndio shida ya kutunga mistari wakati unatoka kupata marijuana, kila kitu unaona kinafaa kusema
saaana tuu tena anaona aharakishe akapate tena majani!!!:smile-big::smile-big::smile-big:
 
Back
Top Bottom