ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
Mimi sijausikia huo wimbo lakini ningesema, 1. Kama alisema alipata mateso kuliko ISA basi nikiwa kama mkristo najua ISA Bin Mariam anayezungumzwa na wenzetu sio yule Yesu Kristo wa Nazareth aliyesulubiwa zamani za pontio Pilato, 2. Kama amesema YESU akimaanisha YESU Kristo wa Mnazareth mwana wa Mungu sitaona bado ni kufuru kwani mateso ni comparison term, na hakuna katika biblia ambapo panasema mtu hawezi kujifananisha na YESU, Biblia inasema yesu alizaliwa duniani kama Mtu na aliishi kama mtu kwanini tuanze kutumia maneno ya "Kufuru" huu sio msamiati wa kikristo, sisi tuna maneno ya Heri yao au Ole wao basi mumeaanza kuchanganya mambo wakuu wangu! Mnaogopa kuwa kama wao wakati huo huo mnaanza ku-reason kama wao
Inawezekana hakuna sehemu kwenye bible iliyosema hivyo lkn nadhani si busara kujifananisha au kijilingalisha na mitume, manabii au mungu. Personally sioni kama ni busara kufanya hivyo ndio maana ktk uislam haturuhusu vitu kama hivi...
Yesu mwana wa mungu ktk ukristo na Mtume ktk uislam is not just a person unaweza kumwimba imbaa tu
Regards