Madee: Ferouz alizingua kufanya chorus kwenye wimbo wangu

Mpaka leo ipo kwenye playlist yangu. Hakika majani aliitendea haki hii nyimbo
 
Madee nyimbo zake kali mbili tu:
1. Kazi yake Mola.
2. Yote Maisha.

Alipofiwa na Pendo akachanganyikiwa hadi leo anachoimba sikielewi.

Hivi pendo ni yule aliyekuwa anasoma st. Jones dodoma?
 
Dah mapenz bhna Mungu amrehemu pale chuo alikuwa na mchumba pia daah
Walikuwa washaachana ila Madee inaelekea alikuwa bado anampenda sana demu hata alivyokufa jamaa alizimia
 
Ferooz utamwambia nini enzi hizo ndio alikua kama diamond, siku hizi sijui yupo wapi.....kweli haya yote ni maisha
 
Hivi mpaka leo maproducer wanamiliki wasanii!??
 
Ferooz utamwambia nini enzi hizo ndio alikua kama diamond, siku hizi sijui yupo wapi.....kweli haya yote ni maisha
Yani kajaribu kila njia kashindwa kurudi..
Juzi nilikuwa nasikiliza nyimbo za dazbaba nipe tano, elimu dunia, daz mwalimu, nikabaki natafakari zilivyo kali na jinsi alivyo kwa sasa.
Kweli time tells everything
 
Kuna goma moja la kitambo sana tip top connection walimshirikisha TID.....Jina lla mwimbo nmelisshau
Mwenye kuijua aniwekee basi

OvA
 
Niliwahi kumsikia madee planet bongo akisema kwamba ile ngoma ya kazi yake mola ndio ilipaswa aifanye ferouz ila feruouz akawa haeleweki baadae p funk akamwambia kwamba kuna watu toka arusha watafanya chorus badala ya feruz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…