Madee: Ferouz alizingua kufanya chorus kwenye wimbo wangu

Niliwahi kumsikia madee planet bongo akisema kwamba ile ngoma ya kazi yake mola ndio ilipaswa aifanye ferouz ila feruouz akawa haeleweki baadae p funk akamwambia kwamba kuna watu toka arusha watafanya chorus badala ya feruz
Hata hiki nilichokiandika nimekitoa kwenye interview aliyofanyiwa iko youtube ni ndefu ila sehemu alipoongelea huu wimbo ndiyo imenivutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…