Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamjua wolper?Wale ni wachagga
Jina la pageZipo instagram
Hebu nijuze ndo jamaa ganii???Unamjua wolper?
Hamnaga mwanaume Malaya.Wanaume malaya wengi hupewa watoto wa kike washuhudie
Duuh Likud!we acha tuu mkuu.Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy.
Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee. Mtandaoni kuna habari ya mtoto wa Madee kuachia picha za utupu..
Madee my brother usipanic kwa hilo la mtoto wako.
Mtoto wa kike akisha vunja ungo anakuwaga stranger to her dad.
Nasema stranger to her dad kwa sababu wanawake huwaga haiwasumbui sana kwa vile wanajijua.
Ili uendelee kumpenda mtoto wako wa kike alie kwisha vunja ungo usimfuatilie kabisa kujua mambo yake coz the truth is utamchukia sana lakini itakuwa ni kazi bure tu kwa sababu hivyo ndivyo walivyo umbwa and there is nothing you can do about it.
Mtoto wa kike akifika puberty age ndio utaujua umuhimu wa mashangazi.( dada zako)
Kwa alicho kifanya binti wa Madee sidhani kama madee atakuwa tena proud kupiga nae picha mtandaoni..
Ushauri wangu kwa wewe proud dad ambae bado binti yako hajavunja ungo👇
Akisha vunja ungo jiandae kisaikolojia kumpenda hivyo hivyo kama jinsi atakavyo kuwa or else utamchukia bure
Nataka kukujulisha hapa hatuzungumzii kabila mtu...Hebu nijuze ndo jamaa ganii???
Hatu taki kuchangia kwa mihemuko inabidi tuone picha kwa ushahidi ili tuchangie accordinglyHapana mkuu...
Usifike huko, hata kama wewe sio mzazi huenda mbeleni utapata binti.
Ndiyo tunapokosea Wazazi wengiWao wanawalea kistar star