Madeleka: Nitamtetea bure aliyezusha kifo cha binti aliyebakwa. Watanzania wanataka kuona waliombaka na kumlawiti wanakamatwa.

Cha msingi tuwe serious upepo wa simba na yanga usije ukamaliza kesi juu kwa juu
 
Ila hii nchi hii,. Maanake hapo wanataka waanze kudeal na mzushi kabla ya hao wabakaji na wafiraji,. Inafikirisha🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…