Mademu achen ushamba

emmyta bana poa siku nikikuona nitakupiga full tank afu unipe lift Sawa mtt mzur

Wa kishua
 
emmyta bana poa siku nikikuona nitakupiga full tank afu unipe lift Sawa mtt mzur

Wa kishua
Eti eeee. Jipange aisee best mana usije ukakosa hela ya nauli. [emoji124] [emoji124]
 
Reactions: BAK
Afu unapendeza ukivaa trosa nyekundu naweza nunua Nyngne for you?

Wa kishua
No thank you mkuu! I have many my king Smart911 has bought for me.. Zikinibana au kuchakaa au nikihisi kuzichoka tu ananipeleka naenda kuchagua nyingine..

Vipi mkeo havai trousers???


Mahondaw wa Smart911
 
Ahahahaha kizaman tena mbona kawaida mrembo emmyta

Wa kishua
Sio kikawaida bana kuna faida nyingi sana mnapojua kuendesha gari we na mwenza wako. Wacha uchoyo kila siku unataka umuendeshe tu.

Hivyo ikitokea unaumwa itabidi ukodi bajaj lol.
 
Reactions: BAK
Sio kikawaida bana kuna faida nyingi sana mnapojua kuendesha gari we na mwenza wako. Wacha uchoyo kila siku unataka umuendeshe tu.

Hivyo ikitokea unaumwa itabidi ukodi bajaj lol.
Afu mi sina Gari naendesha la brother so akijua narisk penz la baby ujue

Wa kishua
 
Hahaha hupend zawad kumbe mahandw
Ikubali ya kwangu tu

Wa kishua
Hapana mkuu nashukuru kwa kunijali sema Smart911 wangu kila leo ananiletea zawadi with full of surprises!! Zinanitosha.

Mkeo nae huwa unampa mpa zawadi lakini??? Make wanawake tunapenda sana kupewa zawadi hasa na waume zetu. Tunafurahi mno mnoo



Mahondaw wa Smart911
 
Kwani mkuu mnaposema chura mnaamaanisha nini labda?

Na mkiendesha gari huwa mnakaa au mnafanyaje mkuu, hebu tuwekane sawa basi.


Angalia msela kadata na ladha ya chura apo

Wa kishua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…