Mademu bandia wa ELON MUSK marobot wawa gumzo Duniani

Kama kawaida wabongo tunasubilia ya mtumba maana mapya sizani kama tutaweza kumudu ghalama🤣
 
Kuna kajasho Fulani hv amazing mwanamke huwa anakatoa pale anapofika mshindo au game unapokuwa fire [emoji91].

Vip Elon musk atazingatia hilo kuyawekea hiyo Midori?
 
Bad news.
Ni prank.
Hakuna cha maroboti wala nini.
Mko na sisi mpende msipende hamna pa kwenda🤣
Nani kakuambia ni prank ? Angalia hi video hapa chini .Zama zenu zimepita besti . Serikali tu itupe ruzuku na iondoe Kodi ili wananchi wake tuanze kusikia raha
 

Attachments

  • VID-20230530-WA0049.mp4
    2.1 MB
Ni kufanya ngono na Mapepo,Elon musk ni reptile [emoji1656]
Elon Musk alizalia S. Africa, mamaye n Canadian, Musk pia alipata nafasi ya kwenda kusoma USA, how comes anakuwa reptile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…