Mbwana lazima ashauriwe kitu hiki....aachane kabisa na mademu wa bongo movie kwani si wanawake ambaye mtu unaweza kuoa na kuweka ndani. Wao wamezoea kuchezewa na kuachwa kwenye mataa na kila pedesheee hapa mjini. Kingine, asipokee kabisa simu za Wema atamlostisha na kubaki kicheko. Wema si mtu wa kuwa naye karibu, yeye hutembea na hirizi kupata wanaume....anawatumia pesa zikiisha anatafuta mwingine. Mbwana be smart, you don't need women type ya Wema ama Lulu na wala usiwaguse....wenzako wanatmbea na mizizi ukiwagusa tu kimwili unajisahau na kipaji kinakwisha, usipo angalia utabaki kama Hasheem Thabeet.....mbwembwe nyingi na sasa yuko tu alosto anajuta.
BTW: Unajuwa nini kilichomsibu Hasheem, kujiona super star na kutembea na mademu wa bongo movie na vipashikuna vya mjini.
cc: Jokate Mwegelo