Mademu wa DSM punguzeni njaa

Mademu wa DSM punguzeni njaa

Mkuu inabidi kuwa mwanasiasa ukikutana nae unampiga sound kibao mpaka anakuachia jimbo bila kupingwa.

Ukizubaa watakuomba uwanunulie mpaka ndege.
 
sawa mkuu na nyie wanaume wa dar kutwa kupaka vumbi na kunywa supu ya pweza ndio maana magay hawapungui hawapungui....
Mashoga wote wanatoka mkoani.. Tuanze nakaoge katokea musoma... Dar mnakimbilia tuu ila wenyeji tunawachora mnavyojiona miamba mjini ndo mambo kama hayo yanawakuta .. Wenyeji tunagonga bure..pesa wanakuja chukua kwenu wauza korosho
 
Hawa viumbe jins utakavyo waendea ndivyo watakavyo kutreat., ukiwaendea ukajifanya uko vzr utachunwa tu na ukiw kawaida utawala tu..
 
Kuna mmoja tulibadilishana no jion akanibeep, nilipompigia akaniambia hana hela ya kula, anadaiwa kodi ya chumba, simu yake ina matatizo na mambo mengine mengi
ungemuambia tu niuzie k yako ili umalize hayo matatizo yote
 
Back
Top Bottom