kopa vicoba milioni 3 umpatie.Kuna mmoja tulibadilishana no jion akanibeep, nilipompigia akaniambia hana hela ya kula, anadaiwa kodi ya chumba, simu yake ina matatizo na mambo mengine mengi
Bado hamjamuelewa RAIS kuhusu dhana ya ubanaji wa matumizi. Namba ya kazi gani? yaani nikajaze vocha nimpigie nimwambie ujinga naye aukubali alafu tukafanye ujinga na hela nikatoe na kuchoka humohumoπππ
mm nikiridhika na bidhaa njiani, nabadilishana nayo namba..nahakikisha ameiandika kabisa ameisevu namba yangu nami yake...alafu hataona napiga simu wala sms kumtumia. Nmefanikiwa sana ktk hiliππππππ