Mademu wa DSM punguzeni njaa

Bado hamjamuelewa RAIS kuhusu dhana ya ubanaji wa matumizi. Namba ya kazi gani? yaani nikajaze vocha nimpigie nimwambie ujinga naye aukubali alafu tukafanye ujinga na hela nikatoe na kuchoka humohumoπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

mm nikiridhika na bidhaa njiani, nabadilishana nayo namba..nahakikisha ameiandika kabisa ameisevu namba yangu nami yake...alafu hataona napiga simu wala sms kumtumia. Nmefanikiwa sana ktk hiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…