Mademu wa Jf Ndio hao hao wa mtaani

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Mabaharia wenzangu acheni kuogopa kuwatongoza mademu wa Jf Kwa sababu mademu wa humu ni hao hao wa mtaani tunaoshinda nao, cheka nao ana ata kukaa nao kitaa kimoja,
Msiogope kuzama Pm kwao kwa kuwaona labda ni Wanawake wa class flani hivi sio kweli,

Hao ni hao hao wakina Amberruty, Mwajuma wa kwamtogole, jane, lightness, Anna, Amina, Rachel, wale wanaokudanga, beki tatu wa hapo home kwako NK.

Mademu wa humu hawana Dunia yao Mabaharia tujitahidi kuwazamia PM na kuwang'oa ata kinguvu,


Wanakuwaga tu na Maneno classic lakini wote sio classic kama tunavyowachukulia,


Cc Zero IQ
 
And vice versa!! Sio KE tu hata nyie ME


Na wenye kuringa waacheni waringe kwa raha zao. Siku mkijua kiduku lilo ni gate man wa crdb Bank msishtuke coz hapa ni mtandaoni, waacheni watu wajinafasi na kufurahisha nafsi zao vile wanaweza.

Kuna ID nitazizamia PM siku sio nyingi, nilikuwa nahisi ni wababa kumbe vichaliii tu vya size πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Ngoja nifunge pm yangu mapema naona una mpango wa kuwaumbua watu
 


Hahaha! Mkuu umenifurahisha san.

Kiduku Lilo akiona hapa lazima aanzishe uzi. Utasikia natokwa na machozi ya huruma.
Natumia GMC sijui Shangingi 22, Sijui utasikia alienda NASA kufanya Interview.

Depal jiandae kupewa milion 5 Ya Bando
 
Hahaha! Mkuu umenifurahisha san.

Kiduku Lilo akiona hapa lazima aanzishe uzi. Utasikia natokwa na machozi ya huruma.
Natumia GMC sijui Shangingi 22, Sijui utasikia alienda NASA kufanya Interview.

Depal jiandae kupewa milion 5 Ya Bando
tafadhali tu asije akaitwa hapa, atanisikitikia mpaka chozi

5M ya bundle πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwalike kwenye ile mada yetu ajionee vitu adimu
 
[emoji12][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]sijui nimo? [emoji85]
 
Kabisa, hata nyie wanaume acheni kujikweza
Wanaume wote wa jf tuna hela, ndiyo maana wadangaji wengi wanajiunga jf kwa kasi wakijua kabisa huku hakosi hela ya pango.
Wewe hujui kuna wadangaji wanaendesha maisha yao kupitia wanaume wa jf?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…