Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaingia vina virefu haviwezi atafute kapuku mwenzake.Mwanamke akiwa mvivu hakuna mke hapo, mambo mengi yataharibika
Watu wasiri sana [emoji3][emoji3]Kumbe Kuna wenzetu mna mademu[emoji849][emoji855].
Tafuta wa maisha magumu mwenzio babu hao wa kishua wana watu wao wanaowezana.Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Soma nilichoandika.Umekula?
Aisee sio lazima mtu awe mtoto wa kishua watu wamechoka kufanya usafi kwao sasa kwa mume awekewe dada wakazi watu wamechokaDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Hapana sehem nimesema hivyo.Unanijua sana sio?
🤣🤣🤣🤣🤣Kua na dem wa kishua we kuweza cocastic kaniacha kweupeeeeEdo kissy , Fabian Vitus njooni apa nyie najua mna_mademu wa kishua upepo ukoje uko??
Dada wa kazi siku utasaidiwa majukumu itakuaje apoAisee sio lazima mtu awe mtoto wa kishua watu wamechoka kufanya usafi kwao sasa kwa mume awekewe dada wakazi watu wamechoka
Ana trako?Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Atafute wacheza vigodoroAchana nao tafuta wa mtakaowezana
Kwani Umelazimishwa?Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Naunga mkono hojaDemu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Uvivu ni kitu kibaya sana kwenye maisha hasa kikiwa kwa Mwanamke.Mwanamke akiwa mvivu hakuna mke hapo, mambo mengi yataharibika
Heee wa hivyo wana Shombo ya Samaki balaaaKama Mvivu Kiasi Hicho Anaweza Kusafisha Viungo Vya Uzazi Kwel?
Fresh tu ilimradi wafunguke kuwa wananisaidia na mimi nitamsaidia dada wakaziDada wa kazi siku utasaidiwa majukumu itakuaje apo
🤣🤣🤣🤣Vipi mbunye anakupa au na hiyo sekta ni mvivu pia??