Mademu wa kishua ni mzigo

Tafuta wa maisha magumu mwenzio babu hao wa kishua wana watu wao wanaowezana.
 
Aisee sio lazima mtu awe mtoto wa kishua watu wamechoka kufanya usafi kwao sasa kwa mume awekewe dada wakazi watu wamechoka
 
Ana trako?
 
Kwani Umelazimishwa?
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…