Kudadeki🤣🤣🤣🤣🤣Kua na dem wa kishua we kuweza cocastic kaniacha kweupeeee
😂😂😂Ndio chief bhnKudadeki
🤣🤣🤣🤣🤣Haikuuumini wala niniFresh tu ilimradi wafunguke kuwa wananisaidia na mimi nitamsaidia dada wakazi
akishindwa kuosha vyombo tu aise kwingineko ni pazito mno inahitaji ustahimilivu wa kiwango cha juu sana....Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Mmh 🤔Wengi wao ni seedco a.k.a mbegu fupi.
Alaf wakichukia wanajitundika chap. Atawezana?
Oya fanya wepesi basi mpk Kila mtu ajue,🤣🤣Nenda Tandika Maguruwe mbona utapata tu wa uswazi wenzako
Wewe huyo ss🤣Si umsaidie, mi mwentewe sio wa kishua ila vikazi km hivyo sivipendi
Yani hakuna mtu nambembeleza km dada, siku akiondoka hakuna nyota nitaacha kuona 🤣🤣🤣Wewe huyo ss🤣
Kwakweli tumechoka 🤣🤣🤣Aisee sio lazima mtu awe mtoto wa kishua watu wamechoka kufanya usafi kwao sasa kwa mume awekewe dada wakazi watu wamechoka
angalau ni mwepesi kuwa na engagements hata na publics hii inaweza maanisha unaweza kuwa mwepesi zaid hata maeneo mengineSi umsaidie, mi mwenyewe sio wa kishua ila vikazi km hivyo sivipendi
Ww nishakuharibu ss hivi 🤣🤣🤣Oya fanya wepesi basi mpk Kila mtu ajue,🤣🤣
Kumbeee🤣🤣Yani hakuna mtu nambembeleza km dada, siku akiondoka hakuna nyota nitaacha kuona 🤣🤣🤣
Wamalawi ni wife material, aisee wanafanya kazi afu wavumilivu…!! Kikubwa ndani mchele uhakikishe usiishe 🤣
🤣🤣🤣🤣Ww nishakuharibu ss hivi 🤣🤣🤣
Unapenda pesa kunizidi katibu wako
Oya fanya wepesi basi mpk Kila mtu ajue,🤣
Kwer uzalendo umekuisha pambania wakwakoYani hakuna mtu nambembeleza km dada, siku akiondoka hakuna nyota nitaacha kuona 🤣🤣🤣
Wamalawi ni wife material, aisee wanafanya kazi afu wavumilivu…!! Kikubwa ndani mchele uhakikishe usiishe 🤣