Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
🤣🤣sasa tena unaniuliza mimi 🤣Nyie mna tafsiri za ki Jezebel tupu, tena kwa JK kulikuwa na misemo ya ajabu, “Ukitaka kula, sharti nawe uliwe” hapo ndio anamaanisha nini?!! 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣sasa tena unaniuliza mimi 🤣Nyie mna tafsiri za ki Jezebel tupu, tena kwa JK kulikuwa na misemo ya ajabu, “Ukitaka kula, sharti nawe uliwe” hapo ndio anamaanisha nini?!! 😂😂
Ww si ndio msemaji wao wa chama, unakosaje kujua misemo ya maboss zako 😂🤣🤣sasa tena unaniuliza mimi 🤣
aaa aaha iyo apana aha no no 🤣 mi si husiki na kauli za mtu hapana wa ccm iyo ndio personalWw si ndio msemaji wao wa chama, unakosaje kujua misemo ya maboss zako 😂
Eh! Tunapimana tabiaUmeolewa tyr😂
Ni 0.1%🤣🤣🤣
Ila hapana Kuna wadada warembo na wanapiga kazi
Dada nilipata wa kigogo bwana weeeeWw tafuta binti wa kazi mmalawi mbona utaenjoy, wizzy had ananisema ananilemaza 🤣🤣🤣
Kwani coca amemuacha Mr mavochaaToka umpate cocastic, umekuwa na mineno siku hizi 🤣🤣🤣
Eeee 🤣🤣🤣Kwani coca amemuacha Mr mavochaa
Mfundishe, wagogo nao wanafanya kazi sio wavivu na wavumilivuDada nilipata wa kigogo bwana weeee
Anapiga kazi si mchezo Sema mapishi 0
🤣🤣🤣aaa aaha iyo apana aha no no 🤣 mi si husiki na kauli za mtu hapana wa ccm iyo ndio personal
sure Mama sihusiki
Yaani najitahidi kunfundisha Sema napenda kupika mwenyewe kama nikiwahi kurudi maskani tofauti na hapo inabidi Nile hukohukoMfundishe, wagogo nao wanafanya kazi sio wavivu na wavumilivu
Usikatae unahusika na unajua maana zake 🤣sure Mama sihusiki
😂😂😂😂Chauku hakiendi ukuEh! Tunapimana tabia