Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Kabisa bffAmeeen bff huu mwaka si mchezo
Ngoja tuhamie pm tusifaidishe wakulungwa hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa bffAmeeen bff huu mwaka si mchezo
Ngoja tuhamie pm tusifaidishe wakulungwa hapa
Namzoom tu hapa 🤣🤣🤣🤣🤣 Nabii wa mchongo
😂😂😂 Shemeji dada Joannah kasema unapenda mishangazi, vipi umeachana nayo?! Sisi wapole ila km hujamalizana nayo mishangazi yako iambie mapema ulikoingia siko watapigika watu humu 🤣🤣🤣🤣Ukipeleka shamba, tunakuja kuvuna 😅
Mwenzie mmoja kawa mpole anajua alichokutana nacho 🤣🤣🤣Atajua kachumbia wamakonde au wandengereko.
Tutapata namna tu ya kudeal na ilo jambo 😅😅Hahahaha sasa mimi ni lastborn napenda kudeka pia sijui itakuwaje
Nimeokoka siku hizi.....sitaki Tena mashangazi 😅😅😂😂😂 Shemeji dada Joannah kasema unapenda mishangazi, vipi umeachana nayo?! Sisi wapole ila km hujamalizana nayo mishangazi yako iambie mapema ulikoingia siko watapigika watu humu 🤣🤣🤣🤣
Mela mbona unanitisha sasa? 😅😅Mwenzie mmoja kawa mpole anajua alichokutana nacho 🤣🤣🤣
Isije okafika sasa baba anamtaka mamake na mimi namtaka babangu 🤣🤣Tutapata namna tu ya kudeal na ilo jambo 😅😅
Wanga wakija, badala ya kuturoga wataishia kuangalia shooGodoro tunaloweka maji 🤤
Jeshi la wokovuNgoja nianze novena acha Nintendo jeshi la wokovu tuingie vitani Lamomy Tayana-wog
Mwanakondoo ameshinda 🤣Jeshi la wokovu
Umejua kuniua mbavy zangu loo🤣🤣🤣🤣
Ewaaaa yaani kampa kampa tenaWanga wakija, badala ya kuturoga wataishia kuangalia shoo
Ataoa tuYes,hamna wakati unatakiwa kuomba mdogo wangu kama huu ,sisi familia yako Lamomy Tayana-wog tutaingia kwenye vita kuu si ya damu na nyama bali katika falme za Giza tukisaidiwa na nabii wa familia Tlaatlaah kuhakikisha shemeji Analyse hakimbii mpaka aoe
Tumfuate😅😅Mwanakondoo ameshinda 🤣
Itakuwa patashika hapo 😅😅😅Isije okafika sasa baba anamtaka mamake na mimi namtaka babangu 🤣🤣
Hebu waanze mapema hiyo michango sasa, ili tulasimishe mambo fasta. Tupo nje ya mudaEwaaaa yaani kampa kampa tena
Kumbe ni hit and stuck 😅😅Ataoa tu
Km alijua hapa ni hit n run atajua hajui🤣🤣🤣